Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Endeleeni kujifariji na fake takwimuLeta data za IMF au World bank. Respected institutions sio websites za wabongo zenye broken english kila mahali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kujifariji na fake takwimuLeta data za IMF au World bank. Respected institutions sio websites za wabongo zenye broken english kila mahali.
Wewe endelea kujifariji kwa umaskini uishi kusingizia wengineEndeleeni kujifariji na fake takwimu
Waganga wa kienyeji ndio waliokua wakiwaagiza tena haikuanza na viungo vya albino ilianza na nywele zao kisha mifupa yao hata kama ni marehem wanafukua kaburi.Kwhyo ilkua unayajua hayo..hemu tueleze hvyo viungo baada ya kuvipata huvipeleka wapi
LOL maisha ninayoishi ni wakenya wachache sana wanayamudu, kati yao wewe haupo.Wewe endelea kujifariji kwa umaskini uishi kusingizia wengine
This is the bitter pill you'll have to swallow, GDP ya Kenya ni $99b na ya tz $62b irregardless kama naishi kama wewe au laLOL maisha ninayoishi ni wakenya wachache sana wanayamudu, kati yao wewe haupo.
Hata $80B hamgusiThis is the bitter pill you'll have to swallow, GDP ya Kenya ni $99b na ya tz $62b irregardless kama naishi kama wewe au la
Angekuwa na uwezo mzuri wa kufikiri angethibitisha kauli yake, ila kwa sababu ukabila na njaa vimemuathiri uwezo wa kufikiri imebidi achange gear hewani.Pole ndugu yangu naona kweli umekwazika.
Plastic ilipigwa marufuku Kenya.Hizo hizo mnazotumia kwenye flying toilets
Huyo ndio mwenye pesa kuliko wote africa na ana watoto 15.wewe hutafuti watoto na pesa huna unajigamba ujinga hapa.Dangote hana watoto wengi.
Huyo ndio mwenye pesa kuliko wanaume wote africa na ana watoto 15.wewe hutafuti watoto na pesa huna unajigamba ujinga hapa.
Uelewa wako kuhusu mambo ya mipango miji ni mdogo sana
Endelea kupika data kwa mdomo kama ccmHata $80B hamgusi
haiwezi kuwa uniform hilo swala.kwamba eti sababu ni masikini ndio unazaa hovyo.hapana.Kulingana na forbes..lkn kuna wanaume wana hela lkn wametulia tu..
Sasa hapo nimepinga fact ipi 😂😂😂 watu hawanyi kwenye flying toilets au,Wacha kupinga facts. Wacha kuwa mjinga. Sijui unajaribu kupinga kuwa Kenya plastic imebaniwa ama unajaribu kupinga nini. Sipendi kuargue na watu wajinga.
Gawa $80B kwa watu 47.5MEndelea kupika data kwa mdomo kama ccm
Ukichukua gdp ya Kenya $99b ugawe by population 47m utapata per capita income inafikia roughly $2,000+ (47*2=98)
Tz gdp $62b ugawe by population 58m utapata per capita income inafika $1,100
Numbers dont lie baba.
Umeona, na kuna space inabaki ya kufit Rwanda na Burundi.Nigeria-923768 sq km
Tanzania-945087 sq km
Bwaaaaaahhh umeona waliokupa like yupo injinia wa kibera kakuunga mkono anajua mkizidi kuzaliana atapata tenda za kujenga new slumsHii itabidi tuoe wake wanne wanne kila mmoja, tuko wachache sana nchi hii, jameni tufyatue watoto...hela tunazo.
Magu tatizo lake anafikiri kama mtu ambaye hajasoma. Anafikiri population kubwa ndio italeta mali kwenye nchi. Industrialisation ndio itasaidia nchi za Afrika.Umeona, na kuna space inabaki ya kufit Rwanda na Burundi.
Alafu tupo 60 - 70 million. Naija sasa wanafika 200millions.
Ndio maana Magu huwa anasema watu wazaliane kwenye awamu yake, hili linchi bado sana kulitosheleza.