wakuu.
niliwahi kuandika hapa kuhusu mazingira na sera mbovu za kibiashara kwa sasa Tanzania,
hakuna mtu atavumilia kukimbizana na TRA kila leo , wana east africa wengi wataenda kufanya biashara kenya, iwekezaji uyaongezeka kenya.
sasa ninyi endeleeni kusema mnakaza mtauua uchumi jumla na mtakuja kushtuka huku mmeshachelewa na sera zenu za kitoto.
watu wanapenda wageni wapeleke kitu kwao ninyi mnafukuza wageni.
niliwahi kuandika hapa kuhusu mazingira na sera mbovu za kibiashara kwa sasa Tanzania,
hakuna mtu atavumilia kukimbizana na TRA kila leo , wana east africa wengi wataenda kufanya biashara kenya, iwekezaji uyaongezeka kenya.
sasa ninyi endeleeni kusema mnakaza mtauua uchumi jumla na mtakuja kushtuka huku mmeshachelewa na sera zenu za kitoto.
watu wanapenda wageni wapeleke kitu kwao ninyi mnafukuza wageni.