eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
IKULU imetoa TAMKO
Kuna siku nilisema. Yule mk254 kuzusha kuwa Raila na Uhuru wameenda kusaka mkopo wa SGR ni uongo. Yeye akaanza kusema wameweka tofauti zao pembeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IKULU imetoa TAMKO
Wanazuga tu wale walikwenda kwa nia ya kusaka mkopo mbona raila alisema ilo alipohutubia kisumuKuna siku nilisema. Yule mk254 kuzusha kuwa Raila na Uhuru wameenda kusaka mkopo wa SGR ni uongo. Yeye akaanza kusema wameweka tofauti zao pembeni.
Si kila mifumo ni ya kwenda nayo, kingine haiendani na uchumi wa nchi.Lkn all in all sio jambo la kuchekelea lkn UK angeamua ku pungiza gharama za kuendesha serikalinza kaunti , mishahara ya maofisaa wa govt , i m sure angepata pesa ya kumalizia icho kipande tena very smoothly
We bwege kweli yaan kupunguza matumizi ya serikali haiendaninna nchi yenu ? Yaannnyie ni nchi maskini kama zilivyo nchi zingine hata nchinmatajiri wanabanaga matumizi ... Your cpmment is so cheap brother serikali nyingi za afrika zina over budget ktk matumizi ya luxiry ambao sio lzm sanaaa yaan PLO Lumumba mwenyewe anaponda mfumo wa kaunti na sio yy tu hata wasomi wengi hapo kenya ..Si kila mifumo ni ya kwenda nayo, kingine haiendani na uchumi wa nchi.
[emoji16][emoji16][emoji16]sikuzuia mkopo kwa uhuru na raila mimi, ni vigezo hamkukidhi, bwege mwenyewe bana.We bwege kweli yaan kupunguza matumizi ya serikali haiendaninna nchi yenu ? Yaannnyie ni nchi maskini kama zilivyo nchi zingine hata nchinmatajiri wanabanaga matumizi ... Your cpmment is so cheap brother serikali nyingi za afrika zina over budget ktk matumizi ya luxiry ambao sio lzm sanaaa yaan PLO Lumumba mwenyewe anaponda mfumo wa kaunti na sio yy tu hata wasomi wengi hapo kenya ..
Wameanza kurukana na kukanyagana!!!Kuna siku nilisema. Yule mk254 kuzusha kuwa Raila na Uhuru wameenda kusaka mkopo wa SGR ni uongo. Yeye akaanza kusema wameweka tofauti zao pembeni.
Wameanza kurukana na kukanyagana!!!
Hapo ndio ujue mchina katengeneza njia ya kuchukua bandari kilaiini.Sasa ikiishia Naivasha watalipaje hili deni la mchina?
si unajua kufa nyani na miti kuteleza sasa miti inateleza wasemeje? Midlle incomeWanazuga tu wale walikwenda kwa nia ya kusaka mkopo mbona raila alisema ilo alipohutubia kisumu
wachina ni wajanja hawatoi madeni ovyo, nyie subirini tu, karibuni mtaona rais mchina katika nchi za afrika.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wazee wa MAPARACHICHI. Mmefikia wapi kupanda hiyo mimea?
Teh teh teh tihiii
Hawa jamaa ni kama wendawazimu, yaani jitu linadanganywa kabisa linasaini mkataba wa kuuza maparachichi.....Nasikia wamemsainisha mkataba wa kuuziana maparachichi,wachina bhanaa,asa maparachichi hadi pesa yake ije kujenga sgr si dunia itageuka?