Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.
How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics
Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?
Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.
Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.
Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.
Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.
Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics
Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?
Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.
Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.
Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.
Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.
Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.