Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
 
Chadema ni tegemeo kwa nani?

Wengine hawa hapa:

FwtdsBuXwAExTKq.jpeg


Samia anawajua. Wewe huwajui, au ni kujishaua tu tokea pande za wapi ndugu?
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
CHADEMA wajifunze nini kwa kenyatta asiyetii katiba ya nchi? Katiba ya kenya inamtaka rais mstaafu, akishaondoka madarakani, baada ya miezi sita anaachana na siasa na kama ni kiongozi wa chama cha siasa anaachia nafasi hiyo.
 
CHADEMA wajifunze nini kwa kenyatta asiyetii katiba ya nchi? Katiba ya kenya inamtaka rais mstaafu, akishaondoka madarakani, baada ya miezi sita anaachana na siasa na kama ni kiongozi wa chama cha siasa anaachia nafasi hiyo.

Wanacho cha kujifunza kwamba haki huja kwanza dhidi ya yote.

Wote wasioamini kwenye haki:

"Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi."

Wanaweza kujiunga na ninyi Lumumba huko!
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Ccm wanalo la kujifunza au CDM? Punguza Bangi
 
Wanacho cha kujifunza kwamba haki huja kwanza dhidi ya yote.

Wote wasioamini kwenye haki:

"Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi."

Wanaweza kujiunga na ninyi Lumumba huko!
Kama ni haki, wanaotakiwa kujifunza ni ccm wezi wa haki ya wananchi ya kupiga kura kuchagua viongozi wanaowataka. Huwezi ukamhukumu anayeporwa haki yake kila wakati.
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Hatuna cha kujifunza toka kenya! Unatetea mashoga ni aibu yako sana! Kwa nini mashoga wasinyanyapaliwe? Wewe unawaona kuwa sawa? Hata mbwa hawafanyi ushoga sembuse watu!
 
Kudai haki ni ngumu sana, wengi wanaijua haki ni ile inayowahusu wao pekee, hawajui kama kuna haki za wengine nazo wanatakiwa kuziheshimu, haki zinatofautiana kulingana na makundi tofauti, heshimu haki za wenzio ili nao waheshimu zako, hii ndio sheria ya mchezo.

Mfano hilo la ushoga, huwa naona wengi wakilaani ushoga wanaegemea kwenye vitabu vitakatifu kwamba haviruhusu, sawa hata kama haviruhusu, nani anayetupa sisi wengine mamlaka ya kuwahukumu mashoga?

Ukweli ni kwamba wakati ukimnyooshea mwenzio kidole kimoja, tukumbuke vipo vingine vinatugeukia wenyewe, hilo ni kumbusho tosha toka kwa Mungu kuja kwetu wanadamu, kwamba ni yeye pekee ndie asiye na kasoro, mkamilifu.

Mbona tunajivika uungu kuwahukumu mashoga kinafiki ikiwa nasi tuna dhambi zetu nyingi tumezikalia kimya kimya? kazi ya kuhukumu ni ya Mungu pekee, wanadamu tusijivike hilo jukumu.

Pia kwa wazazi tunaolaani ushoga/usagaji kwa kuogopa wanetu wasijekujifunza, hapa la msingi ni jukumu letu kuwa karibu na wanetu kuhakikisha tunawasimamia karibu kimalezi, this is the only option.

Hii dunia haiwezi kwisha dhambi, wala tusipoteze muda kushindana na nature, Mungu kwa uwezo wake kama angekuwa hawataki mashoga hapa duniani angewaondoa, lakini siku zote andiko lazima litimie, kuhangaika kulifuta kwa midomo na kunyooshea wengine vidole ni kujidanganya.
 
Ccm wanalo la kujifunza au CDM? Punguza Bangi

Bangi unazo wewe. CCM Hana cha kujifunza namna ya kupata katiba mpya itakauotupa sote haki sawa kama wadau wa nchi hii. Ni wapumbavu peke yake wenye kumsubiri CCM ajifunze namna ya kuwapa katiba mpya.

Bure kabisa!
 
Kama ni haki, wanaotakiwa kujifunza ni ccm wezi wa haki ya wananchi ya kupiga kura kuchagua viongozi wanaowataka. Huwezi ukamhukumu anayeporwa haki yake kila wakati.

CCM hana cha kujifunza ili kutoa haki kwa watu maana hiyo haina maslahi naye.

Wanapaswa kujifunza wanaotaka haki na kwa kuanzia kuwapurura wote wasiowaumini wa haki kwenye ranks zake.

Chama chenye kudai haki hakiwezi kuambatana na wapinga haki.

Hawa kina Yeriko, Waterluo, Yonda, mbingunikwenu nk waende tu huko Lumumba au hata mbinguni kama ndiyo kwao.
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Unatoa ushauri, unalalamika, ama unajiongelesha wewe mwenyewe!?
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Kutufanya sisi tuwe mambumbumbu kama Wajaluo wa Kenya hili kwetu Tanzania haliwezakani.
 
Kudai haki ni ngumu sana, wengi wanaijua haki ni ile inayowahusu wao pekee, hawajui kama kuna haki za wengine nazo wanatakiwa kuziheshimu, haki zinatofautiana kulingana na makundi tofauti, heshimu haki za wenzio ili nao waheshimu zako, hii ndio sheria ya mchezo.

Mfano hilo la ushoga, huwa naona wengi wakilaani ushoga wanaegemea kwenye vitabu vitakatifu kwamba haviruhusu, sawa hata kama haviruhusu, nani anayetupa sisi wengine mamlaka ya kuwahukumu mashoga?

Ukweli ni kwamba wakati ukimnyooshea mwenzio kidole kimoja, tukumbuke vipo vingine vinatugeukia wenyewe, hilo ni kumbusho tosha toka kwa Mungu kuja kwetu wanadamu, kwamba ni yeye pekee ndie asiye na kasoro, mkamilifu.

Mbona tunajivika uungu kuwahukumu mashoga kinafiki ikiwa nasi tuna dhambi zetu nyingi tumezikalia kimya kimya? kazi ya kuhukumu ni ya Mungu pekee, wanadamu tusijivike hilo jukumu.

Pia kwa wazazi tunaolaani ushoga/usagaji kwa kuogopa wanetu wasijekujifunza, hapa la msingi ni jukumu letu kuwa karibu na wanetu kuhakikisha tunawasimamia karibu kimalezi, this is the only option.

Hii dunia haiwezi kwisha dhambi, wala tusipoteze muda kushindana na nature, Mungu kwa uwezo wake kama angekuwa hawataki mashoga hapa duniani angewaondoa, lakini siku zote andiko lazima litimie, kuhangaika kulifuta kwa midomo na kunyooshea wengine vidole ni kujidanganya.
Huyu jamaa ni shoga siyo.
 
Back
Top Bottom