Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

Wewe

Kweli jibwa, hukuwatag baadhi ya watu kuwa hawataki haki na ukataja baadhi ya makundi kuwa yanabaguliwa wakiwepo wanaopractice mapenzi ya jinsia moja?

Uhuru umezidi kuwekwa jukwaa moja na wapumbavu

Kulikoni kufyatua majina kama umerukwa na akili ndugu?

Wewe una jina moja tu ndugu "mbuzi" mpumbafu fulani wa pale Lumumba!

Hilo linakutosha wala huhitaji jina jipya.
 
Kujifunza kushindwa ni tatizo, nionavyo mie chadema walishajifunza baada ya kuungana na Lowasa na Sumaye huko nyuma. Uhuru akiwa Madarakani aliungana na Raila, Ruto akawashinda vibaya sana pamoja na kwamba Kenyata alikua Rais, leo hii Kenyata hayuko Madarakani nadhani hata akiungana na Raila tena, akamuongeza kalonzo,Matha, Wajakoya, E.Wamalwa, G.Moi,Mukhisa kitui, M.Wairia, C.Ngilu ongeza wanasiasa unaowafahamu Kenya, 2027 Ruto atashinda kwa kishindo na hawatafanya kitu.

Elimu haina mwisho. Katika yote mafunzo yaliyopo ni kuwa:

1. Harakati za Kenya si za kikabila.
2. Katika nchi nguvu iko mikononi mwa wananchi.
3. Haki haina double standard.
4. Penye nia pana njia.
5. Kwenye siasa hayupo rafiki Wala adui wa kudumu bali agenda.
6. Si kila anayejinasibu kuwa mshirika katika mapambano ana maanisha.
7. Ni heri kuwa na wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la washirika mizigo.
8. Yako mengi.
 
Chadema walikuibia mkeo?? Si kwa hasira hizi na chama hiki😂😂😂😂

Warejea bandiko lipi dhidi ya Chadema ndugu. Nimerejea mada hadi mabandiko yote yakiwamo ya mambuzi wabobezi bIla kuwaacha kina Joni joni sioni moja lenye hasira.

Au unaandika kwa niaba ya bandiko au uzi upi ndugu?
 
😀😀

IMG_20230528_194936.jpg
 
Back
Top Bottom