Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

We

Unawashauri wafanye kufukuza watu?? Unategemea kitu gani kitokee upande wapili wa shilingi? e.g NCCR-Mageuzi au ACT-Wazalendo

Je itakuwa sawa Watanzania wakasema tuwafukuze wawekezaji Uchwara kwa sababu wanakwepa kulipa kodi, kodi ambayo ni haki ya Mtanzania? Kwa sababu wapo watu wa namna hiyo au?

Ni dhuluma zipi hizo, Kwamba kashindwa Uchaguzi kwahiyo ni dhuluma?


??

Kulikuwa na kawimbo:

"Nyerere yupo ukiona kundi la wapigania haki na yeye yupo."

Kina Che Guevara walikuja kupigania haki hadi DRC. Wakafia ugenini Cuba huko, kama mashujaa.

Chadema ni movement ya haki. Wa nini wasioamini kwenye haki?

Odinga hana rundo la wapumbavu. Ana wachache waliodhamiria na kazi inaendelea.

Odinga ana agenda zake zinazokubaliwa na wakenya. Agenda hizo si za kikabila kama zinavyodaiwa na wapuuzi wa kwetu. Agenda zake kwao wanazitambua kuwa ni za haki ndiyo maana anaungwa mkono.

Tunazo zetu za haki tunazozipigania kupitia chadema. Mbinu za kupigania haki ni zile zile kote duniani.

Hupiganii haki na wasio waumini wa haki.

Hapo ndipo tunapokwama sisi.

Tuna wajumbe mizigo baina yetu. Hawa ni heri kuwafurusha kuliko kuwa nao.
 
GettyImages-821325596.jpg

Wito kamili kwa kina Utingo, cencer09, Fursakibao, hamumwa na ndugu zao wa namna hiyo.
 
Uko kila mahali hueleweki unaandika kwa niaba ya CCM au chadema. Kwa maana nyingine umechachawa huelewi kushoto au kulia ni wapi.

Hujui Wala huna habari kuwa siasa hazina rafiki wala adui wa kudumu bali agenda. Hujui kuwa chadema haijutii Wala kujisifu kwa kuwa na kina zitto, lowassa, slaa nk au awaye yote katika historia yake.

Kama mburumundu tu unaruka ruka kutaka upewe historia za kina Ruto au kina Kenyatta.

Iko hivi mjomba Raila anaendesha harakati za haki dhidi ya Serikali ya Kenya. Huo ndiyo ukweli wenye kueleweka na wapigania haki wote lakini si wapuuzi niliowaorodhesha.

Haina shaka utakuwa umeguswa wewe.

Siyo kwa povu hilo ndugu.
Kwa upuuzi unataka kulazimisha kuwa CHADEMA siyo chama kinachopigania haki, hapo ndipo bangi zako zinapoonekana dhahiri.

Je CHADEMA haipiganii haki? Mbowe na CHADEMA wamevuka level ya harakati ndio maana wamekaa na kufikia muafaka na sasa tunaenda kwenye mchakato wa katiba mpya, kesi za kisiasa na wafungwa wa kisiasa wameachiwa. Wewe unazungumzia harakati twende tukaandamane barabarani kama Odinga? Pathetic
 
wafuasi wa CHADEMA wengi ni wazee wa Upinde
Chadema ni chama Cha kihafidhina maana ni mrengo wa kati-kulia so ni ngumu ku support LGBTQ. Dunia nzima conservatives hardly tolerate homosexuality.
 
Kulikuwa na kawimbo:

"Nyerere yupo ukiona kundi la wapigania haki na yeye yupo."

Kina Che Guevara walikuja kupigania haki hadi DRC. Wakafia ugenini Cuba huko, kama mashujaa.

Chadema ni movement ya haki. Wa nini wasioamini kwenye haki?

Odinga hana rundo la wapumbavu. Ana wachache waliodhamiria na kazi inaendelea.

Odinga ana agenda zake zinazokubaliwa na wakenya. Agenda hizo si za kikabila kama zinavyodaiwa na wapuuzi wa kwetu. Agenda zake kwao wanazitambua kuwa ni za haki ndiyo maana anaungwa mkono.

Tunazo zetu za haki tunazozipigania kupitia chadema. Mbinu za kupigania haki ni zile zile kote duniani.

Hupiganii haki na wasio waumini wa haki.

Hapo ndipo tunapokwama sisi.

Tuna wajumbe mizigo baina yetu. Hawa ni heri kuwafurusha kuliko kuwa nao.
Braza, Duh
Unarukaruka tu, tena kana mkojo wa mbuzi! How ironic.
.......Nauliza tena,
1.Uhuru anaenda kugombea Uraisi tena?
2.Wawekezaji uchwara wafukuzwe kwa kukwepa kodi? Manake wapo watu wa namna hiyo au?

Ukinijibu siweki picha ya mambuzi na wale wanaodhulumu haki za wenzao.
 
.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.
.

Nmesoma Nmeishia hapo,nmekupuuza[emoji115]
 
Kudai haki ni ngumu sana, wengi wanaijua haki ni ile inayowahusu wao pekee, hawajui kama kuna haki za wengine nazo wanatakiwa kuziheshimu, haki zinatofautiana kulingana na makundi tofauti, heshimu haki za wenzio ili nao waheshimu zako, hii ndio sheria ya mchezo.

Mfano hilo la ushoga, huwa naona wengi wakilaani ushoga wanaegemea kwenye vitabu vitakatifu kwamba haviruhusu, sawa hata kama haviruhusu, nani anayetupa sisi wengine mamlaka ya kuwahukumu mashoga?

Ukweli ni kwamba wakati ukimnyooshea mwenzio kidole kimoja, tukumbuke vipo vingine vinatugeukia wenyewe, hilo ni kumbusho tosha toka kwa Mungu kuja kwetu wanadamu, kwamba ni yeye pekee ndie asiye na kasoro, mkamilifu.

Mbona tunajivika uungu kuwahukumu mashoga kinafiki ikiwa nasi tuna dhambi zetu nyingi tumezikalia kimya kimya? kazi ya kuhukumu ni ya Mungu pekee, wanadamu tusijivike hilo jukumu.

Pia kwa wazazi tunaolaani ushoga/usagaji kwa kuogopa wanetu wasijekujifunza, hapa la msingi ni jukumu letu kuwa karibu na wanetu kuhakikisha tunawasimamia karibu kimalezi, this is the only option.

Hii dunia haiwezi kwisha dhambi, wala tusipoteze muda kushindana na nature, Mungu kwa uwezo wake kama angekuwa hawataki mashoga hapa duniani angewaondoa, lakini siku zote andiko lazima litimie, kuhangaika kulifuta kwa midomo na kunyooshea wengine vidole ni kujidanganya.
Uneandika kitu kigumu mnoo nashindwa kukoment
 
Akihukumiwa na kulaaniwa bwana yule ni sawa ila wakihukumiwa mashoga ndio tunakumbuka kwamba Mungu ndio pekee mwenye haki ya kuhukumu.
Bwana yupi huyo unayemzungumzia?
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Wanasiasa makini wajifunze nini kutoka kwa Uhuru na Raila? Raila aliuza "legacy" yake ili k apate urais kupitia kura za Wakikuyu. Uhuru alimsaliti Ruto asiyekuwa na jina kubwa na kuungana na Raila mwenye jina kubwa ili nchi ya Kenya iendelee kuongozwa na familia zenye majina makubwa. Wanasiasa wa Tanzania hawana chochote cha maana cha kujifunza kutoka kwa hao wawili. Sana sana kitu cha kujifunza hapo ni jinsi raia wa Kenya walivyopevuka na kukataa uongozi wa kurithishana.
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Umepotoka katika hili.
Halafu umetuhumu kijumla jumla tu.

Tambua kupenda haki hakumaanishi kukubaliana na upuuzi na uovu kama ushoga.
 
Wewe tayari unayo ndio maana unatoa hoja za kibangibangi
Mara hii umesahau ulikuwa umesema je? Kukumbusha haya ni hapa chini ni maneno yako:

IMG_20230524_210012.jpg


Tulishakubaliana ambaye tayari keshatupia kama kofia ni wewe.
 
Umepotoka katika hili.
Halafu umetuhumu kijumla jumla tu.

Tambua kupenda haki hakumaanishi kukubaliana na upuuzi na uovu kama ushoga.

Ushoga upi unaouongelea wewe? Mada hii siyo ya ushoga ndugu. Kama lengo lako ni kujadili ushoga uko kwenye jukwaa jingine.
 
Wanasiasa makini wajifunze nini kutoka kwa Uhuru na Raila? Raila aliuza "legacy" yake ili k apate urais kupitia kura za Wakikuyu. Uhuru alimsaliti Ruto asiyekuwa na jina kubwa na kuungana na Raila mwenye jina kubwa ili nchi ya Kenya iendelee kuongozwa na familia zenye majina makubwa. Wanasiasa wa Tanzania hawana chochote cha maana cha kujifunza kutoka kwa hao wawili. Sana sana kitu cha kujifunza hapo ni jinsi raia wa Kenya walivyopevuka na kukataa uongozi wa kurithishana.

Ya kujifunza yako mengi pa kuanzia ni mnavyofichama uvunguni mkiitwa kutokea kwenye maandamano kama mapanya au kuku waliomwagiwa maji.

Wafanya biashara wa kariakoo wana ujasiri wa kukomaa na wanachoamini lakini si ninyi wenye kutaka kuwabeza wenye ujasiri wa kujisimamia.

Bure kabiisa!
 
Kwa upuuzi unataka kulazimisha kuwa CHADEMA siyo chama kinachopigania haki, hapo ndipo bangi zako zinapoonekana dhahiri.

Je CHADEMA haipiganii haki? Mbowe na CHADEMA wamevuka level ya harakati ndio maana wamekaa na kufikia muafaka na sasa tunaenda kwenye mchakato wa katiba mpya, kesi za kisiasa na wafungwa wa kisiasa wameachiwa. Wewe unazungumzia harakati twende tukaandamane barabarani kama Odinga? Pathetic

Kwamba hujui unachoandika ni upuuzi ndugu?

Ushauri uliopo ni kwa chadema ambacho ni chama makini Cha kupigania haki kuwafurusha manungayembe ninyi msioamini katika haki.

Wapi unaposoma chadema kalaumiwa?

Kwamba unataka kuniwekea maneno mdomoni?

Koma wee!
 
Braza, Duh
Unarukaruka tu, tena kana mkojo wa mbuzi! How ironic.
.......Nauliza tena,
1.Uhuru anaenda kugombea Uraisi tena?
2.Wawekezaji uchwara wafukuzwe kwa kukwepa kodi? Manake wapo watu wa namna hiyo au?

Ukinijibu siweki picha ya mambuzi na wale wanaodhulumu haki za wenzao.

Juruka ruka naona unafanya wewe.

Narudia Tena:

1. Rejea Iko kwenye mada Nini Uhuru atafanya. Mwenye macho haambiwi tazama!

Nakuongeza rejea nyingine hapa kama kusoma unajua :

Kenyatta sasa jino kwa jino na Ruto, atimua waliosaliti Jubilee

2. Ya kodi kaongee na Mwigulu Nchemba daktari wa uchumi huku sisi tunaongelea haki ndugu.

Habari ndiyo hiyo.
 
Polisi Marekani Wakizuia maandamano ya amani ya BLM(Black Lives Matter)
210106172554-03-blm-george-floyd-protests-file-full-169.jpg


Picture: CNN edition
 
Back
Top Bottom