Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

Polisi Marekani Wakizuia maandamano ya amani ya BLM(Black Lives Matter)
210106172554-03-blm-george-floyd-protests-file-full-169.jpg


Picture: CNN edition

Halipo jeshi lililo na nguvu kuliko nguvu ya umma:

4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma

Inawakilisha. Ndiyo maana vishindo vya wakoma viliwakimbiza washami:

Makamanda uchwara endeleeni kushupaza shingo:

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga
 
Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.
Ulisema hivyo hapo juu....

Ndio maana nikasema umepotoka.
 
Kwamba hujui unachoandika ni upuuzi ndugu?

Ushauri uliopo ni kwa chadema ambacho ni chama makini Cha kupigania haki kuwafurusha manungayembe ninyi msioamini katika haki.

Wapi unaposoma chadema kalaumiwa?

Kwamba unataka kuniwekea maneno mdomoni?

Koma wee!
Kwa sababu u mpumbavu hujathibitisha ni nani na wapi alipobagua yeyote zaidi ya bangi zako tu
 
Chadema hawawezi kumfukuza Yericko Nyerere kwa sasa na watu wa aina yake kwani wanawakilisha Watanzania walio wengi.
 
Maneno "au hata" yana maana yoyote kwako?

Zingatia huu si uzi wa mwanzo kuwahusu manguli wenye mafunzo kwetu ambako kuna wana harakati ambao haki ni msamiati usiokuwa na maana yoyote kwao:

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga
Kwenye sheria ya maana/tafsiri, iwapo utataja kitu, basi HAKIHESABIWI TENA kama hakijatajwa.
(Mentioning removes generalization).
 
Kwa sababu u mpumbavu hujathibitisha ni nani na wapi alipobagua yeyote zaidi ya bangi zako tu

Kwamba mwenye akili ni wewe kina Odinga, uhuru na wakenya wanaosimama imara kupigania gaki zao ni wapumbavu siyo?

Kwamba mwenye akili huyo ni hohe hahe kiazi mbatambata wewe usiyetokea kwenye shughuli yoyote yenye kuuhitaji uwepo wako kuchangia kwenye kuishenesha nguvu ya wenye nchi kudai haki zao?

Kukutaarifu tu CDM wanayo heshima kubwa kwa harakati chanya hizi za Kenya zisizo na shaka zenye kuithibitisha nguvu ilivyotamalaki ya wenye nchi nchini mwao.

Kwa maelezo haya haipo shaka kuwa wewe siyo pumbafu tu, bali ni baba lao!
 
Chadema hawawezi kumfukuza Yericko Nyerere kwa sasa na watu wa aina yake kwani wanawakilisha Watanzania walio wengi.

Kwani Nyerere yupi aSiyekuwa mwuumini kindaki ndaki wa haki unaye mwongelea au uliyewekeza matumaini yako kwake ndugu?

Ndiyo maana endeleeni kusubiria katiba mpya kwa hisani ya kina Joni na mambuzi ya pale Lumumba.

Nchi hii itakombolewa na wenye moyo wenye kuamini wanacho kipigania si viazi mbatata wasiojitambua kama ninyi.
 
Kwenye sheria ya maana/tafsiri, iwapo utataja kitu, basi HAKIHESABIWI TENA kama hakijatajwa.
(Mentioning removes generalization).

Kwa vile kiswahili ni shida ikikupendeza weka lugha yako ya kwanza upewe tafsiri kwa lugha yako ya mama.

"Semantic(s) is a study. It is never obvious to everybody!"
 
Unaoenda sana bangi siyo? Kwamba jani hilo ni kipenzi chako usidhani ndivyo ilivyo kwa kila mtu ndugu mambuzi.
Never argue with a fool
He'll pull you down to his level
And beat you with experience.
And it seems you are experienced fool. Bye
 
Kwamba mwenye akili ni wewe kina Odinga, uhuru na wakenya wanaosimama imara kupigania gaki zao ni wapumbavu siyo?

Kwamba mwenye akili huyo ni hohe hahe kiazi mbatambata wewe usiyetokea kwenye shughuli yoyote yenye kuuhitaji uwepo wako kuchangia kwenye kuishenesha nguvu ya wenye nchi kudai haki zao?

Kukutaarifu tu CDM wanayo heshima kubwa kwa harakati chanya hizi za Kenya zisizo na shaka zenye kuithibitisha nguvu ilivyotamalaki ya wenye nchi nchini mwao.

Kwa maelezo haya haipo shaka kuwa wewe siyo pumbafu tu, bali ni baba lao!
Punguza upumbavu, nimekuuliza ni nani na wapi yeyote kati ya uliowatuhumu kuwa wanawabagua makundi uliyoyataja?

Maelezo ya kilevi yasiyo na uhusiano na swali.

CHADEMA siyo wanaharakati level hiyo wameishapita, na kama ingekuwa na viongozi wapumbavu kama wewe ingekimbiwa
 
Punguza upumbavu, nimekuuliza ni nani na wapi yeyote kati ya uliowatuhumu kuwa wanawabagua makundi uliyoyataja?

Maelezo ya kilevi yasiyo na uhusiano na swali.

CHADEMA siyo wanaharakati level hiyo wameishapita, na kama ingekuwa na viongozi wapumbavu kama wewe ingekimbiwa

Wewe ni pumbafu zezeta mbambamba dunia kuwahi kushuhudia!

K Chadema inaziheshimu harakati za kupigania haki kote duniani zinazozaa matunda kupitia nguvu ya umma isipokuwa wewe na bado hujishangai.

Kaza uzi hapo kudhania kwa kuwa wewe bIla hata CV ni bora kuliko walioko kwenye list hii:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Bure kabisa!
 
Wewe ni pumbafu zezeta mbambamba dunia kuwahi kushuhudia!

K Chadema inaziheshimu harakati za kupigania haki kote duniani zinazozaa matunda kupitia nguvu ya umma isipokuwa wewe na bado hujishangai.

Kaza uzi hapo kudhania kwa kuwa wewe bIla hata CV ni bora kuliko walioko kwenye list hii:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Bure kabisa!
Pumbavu, ni nani na wapi yeyote kati ya hawa uliowasema wamevunja haki za watu?

Usiponitajia watu na matukio basi wewe pumbavu
 
Pumbavu, ni nani na wapi yeyote kati ya hawa uliowasema wamevunja haki za watu?

Usiponitajia watu na matukio basi wewe pumbavu

Upumbavu mbatata ni kuandika bila kueleweka unasema nini. Ya kwamba unaandika kiyahudi na unategemea watu wote kukuelewa?

1. Hawa niliowasema - kina nani?

2. Hao niliowasema - nimewasema wapi?

Kama nakuona ulivyopendeza kwenye jezi ya kijani.

IMG_20200929_142825.jpg


Salimia Lumumba huko.
 
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani.

How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics

Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini?

Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji uchwara hao wamo hata ndani ya vyama tegemeo kama Chadema.

Watu wasiojua maana ya haki, wasioamini katika haki au wasiosimama na haki bIla kujali maslahi binafsi hawana msaada wowote katika chama au nchi.

Watu wenye kuwanyanyapaa wapalestina, waukraine, na hata mashoga hawawezi katu kuwa hazina kwa chama au taifa lolote lenye kuamini kwenye ustaarabu.

Ushauri wa bure kwa Chadema, fukuza watu wote wa namna hiyo mara moja. Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na rundo la wasiojitambua.

Waende kwa mambuzi huko ambako kukalia haki za wengine kwao ni jadi.
Kujifunza kushindwa ni tatizo, nionavyo mie chadema walishajifunza baada ya kuungana na Lowasa na Sumaye huko nyuma. Uhuru akiwa Madarakani aliungana na Raila, Ruto akawashinda vibaya sana pamoja na kwamba Kenyata alikua Rais, leo hii Kenyata hayuko Madarakani nadhani hata akiungana na Raila tena, akamuongeza kalonzo,Matha, Wajakoya, E.Wamalwa, G.Moi,Mukhisa kitui, M.Wairia, C.Ngilu ongeza wanasiasa unaowafahamu Kenya, 2027 Ruto atashinda kwa kishindo na hawatafanya kitu.
 
Wewe
Upumbavu mbatata ni kuandika bila kueleweka unasema nini. Ya kwamba unaandika kiyahudi na unategemea watu wore kukuelewa?

1. Hawa niliowasema - kina nani?

2. Hao niliowasema - nimewasema wapi?

Kama nakuona ulivyopendeza kwenye jezi ya kijani.

View attachment 2636188

Salimia Lumumba huko.
Kweli jibwa, hukuwatag baadhi ya watu kuwa hawataki haki na ukataja baadhi ya makundi kuwa yanabaguliwa wakiwepo wanaopractice mapenzi ya jinsia moja?

Uhuru umezidi kuwekwa jukwaa moja na wapumbavu
 
Back
Top Bottom