Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda aache leo ufisadi,je atapambana na ufisadi bila kuacha ufisadi?Uhuru na Raila walitaka system wakasema wana nguvu na wanakila kitu, ila kuna kijana dhaifu wa kanisa aliyetoka katika familia isiyo na viongozi akabadilisha mwelekeo wa upepo.
Hii naifananisha km kipindi kile cha Magufuli ,
Natarajia nione makubwa kutoka kwa Ruto , akichomoa mirija yote iliyowekwa na akitengeneza Kenya isiyo ya kifisadi
Naiona Kenya katika nafasi za juu katika uchumi
Ruto kalelewa na Dikteta Moi ni mtoto wa Ikulu huyo. So Ruto is another Moi, ngoja nao walie kwanzaKwani anayechagua ni Magufuli au Wananchi? Alafu Moi sio ndugu na huyu Ruto
... kama ilivyo Kiswahili, bin/binti, "arap" ni neno la Kikalenjin (anakotokea Dr. Ruto) likiwa na maana hiyo hiyo ya bin sawasawa na Kimasai "ole" kwa mwanaume.Haiwezekani Taifa lenye Watu zaidi ya milioni 40 viongozi wakawa wanajirudia kutoka KOO zile zile.
Kamwe hamtaendelea kama Taifa ila mtabaki mnazitajirisha koo hizo hizo.
Hili jambo hayati Magufuli alilipinga sana.
Mungu wa mbinguni akubariki sana.
George Bush senior-George bush jr1. Ali H. Mwinyi
2. Husein Mwinyi
3. Jakaya Kikwete
4. Ridhwan Kikwete
5. Kinana namsikia toka nipo primary
6. Makamba Jr
7. Makamba Sr
8. Nnauye Sr
9. Nnauye Jr
10. List ni ndefu sana
"Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.."
LUka 6:41-45
Mwanzo wa kabila ni nini?... kama ilivyo Kiswahili, bin/binti, "arap" ni neno la Kikalenjin (anakotokea Dr. Ruto) likiwa na maana hiyo hiyo ya bin sawasawa na Kimasai "ole" kwa mwanaume.
William arap Ruto ni sawa tu na ungemwita William bin Ruto. Hana uhusiano wa kifamilia na Moi zaidi ya kuwa kabila moja.
Kama Mkapa!Hata Raila Odinga baba yake Jaramogi Oginga Odinga alikuwa Makamu wa Rais Kenya.
Kwa hivyo, kama unakataa dynasties, Ruto ndiye mtu ambaye hakuwa na kiongozi katika familia yake.
Wewe nawe n taahira tu! Kwenye kila kitu lazima uongee ujinga!
Nani alifuta Magufuli? Huyu aliyetaka kuondoa term limit?Haiwezekani Taifa lenye Watu zaidi ya milioni 40 viongozi wakawa wanajirudia kutoka KOO zile zile.
Kamwe hamtaendelea kama Taifa ila mtabaki mnazitajirisha koo hizo hizo.
Hili jambo hayati Magufuli alilipinga sana.
Mungu wa mbinguni akubariki sana.
Kwa hiyo Magufuli ndio alipambana kuhakikisha marais wa Tanzania wanakua hao na sio kama ilivyokuwa Kenya?Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia
Karibu tena
Au Kifipafipa;
Mtei, Makani, Mbowe
Kenya kuna Arap Kirwa, Arap Ruto, Arap Sae Lakini wote hawana undugu na Arap Moi.Haiwezekani Taifa lenye Watu zaidi ya milioni 40 viongozi wakawa wanajirudia kutoka KOO zile zile.
Kamwe hamtaendelea kama Taifa ila mtabaki mnazitajirisha koo hizo hizo.
Hili jambo hayati Magufuli alilipinga sana.
Mungu wa mbinguni akubariki sana.
Nadhani picha inaongea..All four presidents of Kenya in one pic,hapo ndipo utapata relationshipHaiwezekani Taifa lenye Watu zaidi ya milioni 40 viongozi wakawa wanajirudia kutoka KOO zile zile.
Kamwe hamtaendelea kama Taifa ila mtabaki mnazitajirisha koo hizo hizo.
Hili jambo hayati Magufuli alilipinga sana.
Mungu wa mbinguni akubariki sana.