Kenyatta atinga party la krismas!

Kenyatta atinga party la krismas!

Tena ungejua huyo ni mama yake na Dada yake ungenyamaza, JPM ametoka kwenye maisha ya kawaida sana lakini hana tamaa ya mali ni mtu mpenda haki.

Lakini sio wa kuchekacheka muda woteView attachment 655274
Sasa hapa ndo atakuwa ananyanyua mguu wa Babu yake au? Maanake unapost mipicha bila caption afu baadaye unaanza kusema ungejua huyu ni mke wa babu yake hungesema hayo. 😀 Utadhani ni picha za Jesu kwenye mkate na samaki! We jamaa ni 'fyatu' kabisa. 😀
 
Na ndio maana wanawakamua mpaka senti ya mwisho hakuna wananchi wanaoibiwa Africa mashariki na Rais wao kama Kenya.

hahahaha wewe kichekesho tu mkuu, Kenya kuna nini cha kuliwa? Taxes? Kenya ni jangwa 75%, madini sufuri, hatuna chochote cha kuliwa. Tanzania ndugu zangu mna minerals worth trillions of dollars aise, migodi mme kuwa nayo for soooo many years, comparison yenyu upande wa minerals esp gold and diamonda labda south Africa tu, hapo ndipo mnapoliwa aise, am talking BIG money, lakini mmefumba macho, you focusing on Kenya coz the Auditor General is strict so expose ni nyingi. Ukiongea hela kuliwa Africa, weka nchi yako hapo aise, mmeliwa mpaka basi, mmeliwa hadi mnashindwa ki uchumi na vinchi vidogo ambavyo viko very volatile, politically unstable na ni jangwa, mme liwa hadi hamwezi simamia budget yenyu na kodi za nchi mkuu. Afadhali niliwe vipeni hivi na rais ambaye amechaguliwa na wengi kuliko niliwe ma biliioni za rasilimali ya nchi yangu na wageni. kaeni rada mtu yangu mwache kujichocha na kujiona mko better kuliko kila mtu coz you think y'all smart, sit down, you can't lecture us on embezzlement of resources boss.
 
Back
Top Bottom