Kenyatta kakacha mazishi ya BOB kamfuata Magufuli Chato... But Why?

Kenyatta kakacha mazishi ya BOB kamfuata Magufuli Chato... But Why?

Kumbe mvutabange jagwa alitumika kama chochoro ya Kenyatta kuonana na Jiwe? Asisahau kumuuliza kwanini alichoma vifaranga toka kwake.
 
Ratiba ya Bob yupi unamaanisha. Baada ya kufa Kesho yake alichomwa moto na mazishi.leo imefanyika ibada ya kumbukumbu...
 
Mkuu ni juhudi za nduli kuipigia chapuo chato na ile hoteli yake kule ambayo bila shaka UK ndiko atakolala.

Haya wakenya mje mtuambie Rais wenu uhuru kenyatta anafuata nini Tanzania, tunajua kenyatta ni akili kubwa asije akaturubuni tukampa mlima kilimanjaro
 
Rais Mheshimiwa Uhuru Kenyatta alihudhuria ibada maalumu ya mazishi ya collymore na ukumbuke hao ni familia na Ndungu Muigai ambae ni Kaka wa Kenyatta ndio alisimama kama msemaji maalumu wa familia ya Bob Collymore wakati wa mazishi ya Bob
 
Uhuru amehururia kwenye Musa misa ya mazishi
Screenshot_2019-07-04-15-45-17.jpeg
 
Mkuu rais ni taasisi na sio mtu, akienda maksmu wa rais kwa niaba ya rais ni sawa na rais kahudhuria.
Jambo lingine nimjuavyo Kenyatta kaenda kwa mwavuli binafsi lskini kabeba maslahi ya Kenya.
Nataka nikuhakikishie psmoja na Kenya kunuka rushwa awanu hii lskini Uhuru bado ni rais bora kabisa kupita wote AE.
Siku zote amrpambana kwa ajili ya Wakenya.
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
 
Mkuu rais ni taasisi na sio mtu, akienda maksmu wa rais kwa niaba ya rais ni sawa na rais kahudhuria.
Jambo lingine nimjuavyo Kenyatta kaenda kwa mwavuli binafsi lskini kabeba maslahi ya Kenya.
Nataka nikuhakikishie psmoja na Kenya kunuka rushwa awanu hii lskini Uhuru bado ni rais bora kabisa kupita wote AE.
Siku zote amrpambana kwa ajili ya Wakenya.
Nyie ndio mnaitwa UFIPA na henry kilenga
 
Mi mbna huaga sizioni hzo tv stations za tanzania...ndio manake habari zngine za tz nazijulia jf tu...[emoji3][emoji3]
Jombaa, baki hivyo hivyo tu. Nani ana hamu ya kutizama taarabu, vipindi vya umbea umbea, mipasho ya kisiasa na comedy za kubana pua na wanaume kuvalia sketi? Hiyo ndio hali halisi ya Tv. station na wanahabari wa Tz. Yaani kila kitu ovyo kupindukia.
 
Afadhali...ukanijuza..
Jombaa, baki hivyo hivyo tu. Nani ana hamu ya kutizama taarabu, vipindi vya umbea umbea, mipasho ya kisiasa na comedy za kubana pua na wanaume kuvalia sketi? Hiyo ndio hali halisi ya Tv. station na wanahabari wa Tz. Yaani kila kitu ovyo kupindukia.
 
Jombaa, baki hivyo hivyo tu. Nani ana hamu ya kutizama taarabu, vipindi vya umbea umbea, mipasho ya kisiasa na comedy za kubana pua na wanaume kuvalia sketi? Hiyo ndio hali halisi ya Tv. station na wanahabari wa Tz. Yaani kila kitu ovyo kupindukia.
Hizo shobo utakuja kurwafi.
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
Bob kachomwa moto Juzi. Kabaki majivu tu.
 
Mtoa post ndiyo wale wale wafuata fuata mambo ushabiki shabiki wa kijinga
 
Back
Top Bottom