Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ndio.dstvSaint Ivuga Ktn mnaipata Tanzania?
Kiufupi tv zote za Kenya.
Ila kama mimi naisikiliza sana kbc nAirrrrrrooooobi.
Tangia kipindi cha kina leonard mambombotele.
Kabla hujazaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.dstvSaint Ivuga Ktn mnaipata Tanzania?
Haya wakenya mje mtuambie Rais wenu uhuru kenyatta anafuata nini Tanzania, tunajua kenyatta ni akili kubwa asije akaturubuni tukampa mlima kilimanjaro
hakuzikwa wala, mwili wake ulichomwa moto mbele ya mke na watoto wake ,na jamaa zake wachacheBob Collymore alizikwa Tuesday, sasa sijui ni matanga gani unasema.
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo
But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu
Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
Nyie ndio mnaitwa UFIPA na henry kilengaMkuu rais ni taasisi na sio mtu, akienda maksmu wa rais kwa niaba ya rais ni sawa na rais kahudhuria.
Jambo lingine nimjuavyo Kenyatta kaenda kwa mwavuli binafsi lskini kabeba maslahi ya Kenya.
Nataka nikuhakikishie psmoja na Kenya kunuka rushwa awanu hii lskini Uhuru bado ni rais bora kabisa kupita wote AE.
Siku zote amrpambana kwa ajili ya Wakenya.
Nyie ndio mnaitwa UFIPA na henry kilenga
Swali lako ni la kitoto. Tv zote hata za tanzania zipo online
Jombaa, baki hivyo hivyo tu. Nani ana hamu ya kutizama taarabu, vipindi vya umbea umbea, mipasho ya kisiasa na comedy za kubana pua na wanaume kuvalia sketi? Hiyo ndio hali halisi ya Tv. station na wanahabari wa Tz. Yaani kila kitu ovyo kupindukia.Mi mbna huaga sizioni hzo tv stations za tanzania...ndio manake habari zngine za tz nazijulia jf tu...[emoji3][emoji3]
Jombaa, baki hivyo hivyo tu. Nani ana hamu ya kutizama taarabu, vipindi vya umbea umbea, mipasho ya kisiasa na comedy za kubana pua na wanaume kuvalia sketi? Hiyo ndio hali halisi ya Tv. station na wanahabari wa Tz. Yaani kila kitu ovyo kupindukia.
Hizo shobo utakuja kurwafi.Jombaa, baki hivyo hivyo tu. Nani ana hamu ya kutizama taarabu, vipindi vya umbea umbea, mipasho ya kisiasa na comedy za kubana pua na wanaume kuvalia sketi? Hiyo ndio hali halisi ya Tv. station na wanahabari wa Tz. Yaani kila kitu ovyo kupindukia.
Bob kachomwa moto Juzi. Kabaki majivu tu.Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo
But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu
Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
Shobo zipi hizo, na nimshobokea nani haswa? Dadavua ueleweke, sio unakurupuka tu kiholela holela kama slay queen. 🙂Hizo shobo utakuja kurwafi.