Kenyatta si Mwanademokrasia ila Katiba ya Kenya ni ya Kidemokrasia

You guys, the constitutional gives power the president to do any thing. Kwa hiyo Dogo hayo yote anayoyafanya ni kwa mujibu wa katiba inayompa mamlaka hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali ni, Tz ni katiba ndio ya kidikteta au ni ni yule nani? Anaitwaje tena.....
 
Katiba inamruhusu Mkuu kufanya hayo ingawa wengine walishindwa kufanya hayo kwa uoga wao. Nyerere alihawi sema hilo, ingawa sisi tumewekeza zaidi ya kumjadili rais badala ya mapinduzi ya mfumo.
Swali ni, huko tz ni katiba ndo ya kidekta au ni ni ule nani?
 
Katiba inamruhusu Mkuu kufanya hayo ingawa wengine walishindwa kufanya hayo kwa uoga wao. Nyerere alihawi sema hilo, ingawa sisi tumewekeza zaidi ya kumjadili rais badala ya mapinduzi ya mfumo.

katiba inamruhusu kuvunja katiba?!!
 
Hii mada yako makes no sense. Ni kama kusema "USA is a nation of rule of law " lakini ukiangalia ndio unapata wao wana wafungwa milioni mbili sasa hivyo wao sio watu wa sheria.
 
Mbona hata hapa katiba ipo lkn mara kadha wa kadha inavunjwa? Angalia wanakataza uhuru wa watu kutoa maoni hata wa kujumuika, wakati katiba inaruhusu!

Hivyo hata Uhuru angeweza tu kukiuka katiba lkn hajafanya hivyo.
 
Haya sasa ameanza kutoa makucha yake ya Kiafrika. Katiba inabadilishwa rasmi kumpitisha kuwa sultani.
Hii mada yako makes no sense. Ni kama kusema "USA is a nation of rule of law " lakini ukiangalia ndio unapata wao wana wafungwa milioni mbili sasa hivyo wao sio watu wa sheria.
 
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, Mwaafrika pekee nnayemjua kama MWANADEMOKRASIA ni MANDELA tu (RIP). Kama kuna mwingine mniambie!
 
Kuna wengi wamepiga debe tupu kwa Kenyatta. Wengine tunaopenda kufiri tukaonekana tunashabikia
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, Mwaafrika pekee nnayemjua kama MWANADEMOKRASIA ni MANDELA tu (RIP). Kama kuna mwingine mniambie!
 
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, Mwaafrika pekee nnayemjua kama MWANADEMOKRASIA ni MANDELA tu (RIP). Kama kuna mwingine mniambie!
Leopold Cedar Sengor (Senegal); Jerry J.Rawlings (Ghana); Ahmadou Ahijo (Cameroon); Quet Massire (Botswana); Siakka Stevens (Sierra Leone); Joachim Chissano (Mozambique); Julius Nyerere (Tanzania); Sam Nuyoma (Namibia) nk, wapo sio kwamba hawapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…