Kenyatta Uhuru kutua Chato

Kenyatta Uhuru kutua Chato

Hii protocol and most of the time we dig back after the present visit, nani kati ya JPM na Uhuru alishamtembelea mwenzie then we get JPM was the first one to tour "a state visit to Kenya" then technically kwa deplomatic culture Uhuru should follow the chain so shut up about "Amealikwa"

Actually Uhuru don't do "a state visit" but some kind of the lower profile "an official visit" under the category of statesman visit.

Most of the time state visit which is the highest rank of the formal protocol visit and superior to official visit has the glittering state dinner, always the social high point of a state visit, is planned meticulously, often months in advance.

Sasa huyu Uhuru anaenda kukutania Chato huko kuna so many components under the state visit won't be fulfilled

Kama

A 21-gun salute
Presidential Parade
Cabinet Parade
Glittering State Dinner
Gifts Give out

And so much more, so sio state visit.
Kila kitu kinachoweza kupatikana DAR kipo pia Chato kasoro machangu tu
 
dah tungependa kumuona UK ndani ya DSM lkn kama akitua Chato ah bac tutamkosa hapa Dsm ..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jiwe kaweweseka...lazima amualike...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Uhuru amejua kwamba Kenya haina ubavu wa kupambana na TZ, ameamua kuja kuungama, wewe endelea na ushabiki wako, siku sio nyingi wewe pia utakuja kuungama madhambi yako, Tanzania ni Mecca/ Jerusalem ya Africa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaomba iwe kaamua kuenda chato mwenyewe...[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Sasa huyu Uhuru naye Kachanganyikiwa aisee
Katoka kumtuma Mjumbe Tena nabarua iliyo andikwa na yeye mwenyewe
Bado hajaridhika kaona Aje mwenyewe
Afu kuna Mbuzi za Kikenya humu zinaleta Dharau kwa Tanzania
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]simple and clear...unanza ku edit ya nn....
Unafikiri transcriptions department ya IKULU ni kama huo uchafu wenu ninyi wa hapo Harambee? Each character kwenye hiyo press release ipo in accordance with the respective discourse and order, wewe ndio utakua mbumbu wa Kiswahili kabla ya Mtanzania

Usifananishe na huu uchafu wenu upo kama kipeperushi cha tiba za miti shambaView attachment 1145733


Check kitu hicho. View attachment 1145736
 
Ndio hivyo yani, Uhuru Kenyatta anategemewa kutua Chato kwa ziara binafsi na kuonana na JPM.

View attachment 1145609



Tetete huyu jaguar anamtesa Rais wake

Anakujaje kuomba msamaha wakati huyo dictator wenu wa CCM ndio amemualika? Ama hata kusoma pia ni shida Kwenu? Nyinyi wadanganyika ni vichwa maji tu
 
Hao ndo wale warembo watanzania bila make up...bwahahaaa...kisha wanashinda kutupigia kelele wakati kwao air hostess anakaa km muuza makaa
I was going to say the same thing. Hao air hostess wanaweza nifanya nikose hamu ya kupanda ndege
 
Sasa huyu Uhuru naye Kachanganyikiwa aisee
Katoka kumtuma Mjumbe Tena nabarua iliyo andikwa na yeye mwenyewe
Bado hajaridhika kaona Aje mwenyewe
Afu kuna Mbuzi za Kikenya humu zinaleta Dharau kwa Tanzania
Tanzania tutaidharau hadi mwisho wa dunia. Uhuru amealikwa na huyo dictator wenu, hajakuja kwa hiari yake na imeandikwa vizuri sana hapo. Pili ni kwamba hiyo ni ziara ya kibinafsi ndio maana ameenda huko Chato or whatever you call that place. What they'll discus doesn't concern Kenya or Tanzania.
 
Kwani watanzania mpaka kiswahili inawapiga chenga, what does anakuja kwa mwaliko wa mheshimiwa rais jpm mean?[emoji2357][emoji2357][emoji2357] this folks should be studied tho let it be remembered uhuru is the son of a former president and very wealthy hizo manicities mingi seem not to move him
Midanganyika ni viumbe vya ajabu sana. Kwa kulazimisha mambo hawajambo
 
MaCCM hamna kizuri msichokipaka tope, hata taarifa za rais wetu kuja kumsabahi JPM tena kwake nyumbani lazima muitie doa kwa majigambo, hehehe.
Iwaingie ukanda wote huu kati ya majirani wenu wote, Kenya ndio nchi mnayofanya nayo biashara kubwa kupita mataifa yote, Kenya ndio nchi pekee mnayochangia lugha, mpaka wa Kenya na Tanzania ndio mrefu kati mipaka yenu yote, Kenya ndio nchi pekee mnayochangia makabila mengi yanayoishi mpakani, hivyo jitihada zote za kutafuta uadui na Kenya mtaishia kuangukia pua.
 
This section of Jf is getting dumber by the day. Bahati yetu ni kwamba huwa tunatumia kiswahili. Bure hata waafrika wenzetu nao pia wangeshangazwa na hizi pumba zilizojaa humu.
Bahati ya kutumia kiswahili ni yenu wakenya kamatungetumia kingereza nchi zote zinge wadharau sana wakenya hata mngeonekana takataka maana nyinyi mnapenda kuwa mbwa wa wazungu
 
MaCCM hamna kizuri msichokipaka tope, hata taarifa za rais wetu kuja kumsabahi JPM tena kwake nyumbani lazima muitie doa kwa majigambo, hehehe.
Iwaingie ukanda wote huu kati ya majirani wenu wote, Kenya ndio nchi mnayofanya nayo biashara kubwa kupita mataifa yote, Kenya ndio nchi pekee mnayochangia lugha, mpaka wa Kenya na Tanzania ndio mrefu kati mipaka yenu yote, Kenya ndio nchi pekee mnayochangia makabila mengi yanayoishi mpakani, hivyo jitihada zote za kutafuta uadui na Kenya mtaishia kuangukia pua.
Biashara ya kuiba madini yetu nani anataka wezi wanao iba tz wameweka kambi Kenya Kwa kuwekeza wenyewe mnajisifia kuwa taasisi za kimataifa nyingi zipo kwenu kumbe wapo kuiba madini ya tz ndiyo maana madini yote tunayokamata yanaelekea huko Kenya niambie kwanini ?
 
Bahati ya kutumia kiswahili ni yenu wakenya kamatungetumia kingereza nchi zote zinge wadharau sana wakenya hata mngeonekana takataka maana nyinyi mnapenda kuwa mbwa wa wazungu
Kama mngetumia kiingereza, wewe na nani? Kiswahili chenyewe kinakutatiza sasa ukitumia kiingereza si ndio itakuwa aibu tupu? Wakenya wengi humu huwa wanatumia kiingereza, kila wanapotaka kujadili masuala ya maana, bila ya kuwahusisha hawa malofa wenzako. Ona wanavotupia pumba za ajabu humu. Tushukuru mungu kwamba kiingereza kinawatatiza na wageni wakiingia humu huwa hawaelewi mada na hoja za kiswahili. Bure tungejiletea aibu nyingi sana kama watu wa Afrika mashariki. Nenda kule Twitter, uone hoja za maana za wakenya tena wanatumia lugha inayofahamika duniani kote. Alafu pitia kule Instagram, uone pumba juu ya pumba kutoka kwa wtz wenzako.
 
Back
Top Bottom