joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wewe na wenzio mlikua mnajisifu kwamba GoT inajua kuandika barua na kutumia maneno vizuri kuliko GoK, Barua rasmi iliotiwa saini na mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu ilisema JPM kamualika Uhuru, sasa tayari unataka kugeuza hadithi kwasababu haikufai... ebo!
![]()
Sikiliza Ukweli huo, Uhuru ndiye aliyeomba kwenda Chato, tena ndani ya muda mfupi sana.