Kereng'ende zangu zinawasha na kuuma

Kereng'ende zangu zinawasha na kuuma

Wanajf naomba msaada sasa miaka miwili ni kusumbuliwa na fangus wasiopono dawa nilizotumia whitefield , na zingine nyingi hospitali nimeenda na kuchukua vipimo na nikapewa na dawa.lakini mpaka leo pumbu zinawasha sana na kuuma na pia zinatoa vumbi vumbi nyeupe

OHHH REALLY?Mzee wa mishemishe pole sana.
Hili tatizo ulianza kuliona baada ya kuonja mchagga wa ngapi maana umesema wachagga uliowa.... hawakukukatikia kabisa pamoja na kujitahidi .!
 
Mkuu, pole sana. I can imagine how uncomfortable umekuwa kwa miaka 2. Jaribu kuangalia underwears unazovaa, zikupwaye kiasi, ziwe safi na kavu kila wakati. Hakikisha unazianika kwenye jua (so invest, hehehe). Onana na daktari wa ngozi (dermatologist) na kama akishindwa kukusaidia tafuta urologist.
 
OHHH REALLY?Mzee wa mishemishe pole sana.
Hili tatizo ulianza kuliona baada ya kuonja mchagga wa ngapi maana umesema wachagga uliowa.... hawakukukatikia kabisa pamoja na kujitahidi .!

afadhali umwambie mwaya.kumbe mtu mwenyewe mgonjwa!afu ugonjwa wenyewe unasababishwa na uchafu!afu anaponda wachaga kumbe kajaa ma.fa.nga.si
 
hizo kereng'ende a.k.a pumbu ziweke majivu kwenye sehemu zilizoathiliwa na fangasi halafu wewe ni mnene au kimbaumbau
 
Back
Top Bottom