Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
Sehemu kubwa ya Kenya siyo rafiki kwa kuishi binaadamu. Kwa hiyo haishangazi kuwa na miji michache.
4943e6080f6572fd43e9eff753d9c5ee.jpg
1bb38620bd99923741e26deca8bbc8f2.jpg
547e3cc8d727b44193cbc9511f6995ae.jpg
0ad72e22194fb7de46b82265debf2ca2.jpg
020ccbefd291c8dd2d1060420c522098.jpg
eea684c4207648affb755a4ec488266d.jpg
b8ffe180abf975b3419a611b88b9eb6a.jpg
 
What is the water body in the background? Is Jericho near a lake? Which lake?
 
Back
Top Bottom