Kelela
Senior Member
- Nov 7, 2020
- 191
- 308
Kama mupo walimu wa tabia hii jirekebisheni.
Mzazi unahangaika unapata chochote kitu unaamua kumtumia mwanao pesa ya matumizi, kwa kuwa wanafunzi hawaruhusiwi kumiliki simu tunatumia namba zenu walimu kama munavyotuambia.
Sasa baadhi ya walimu hamna uaminifu, unatumiwa pesa ya mtoto na unakubali kabisa na kusema unamjua ila ukitumiwa pesa haumpatii mtoto. Mtoto anaendelea kupata shida wakati pesa alishatumiwa na mzazi wake. Hii tabia inakera na sio uungwana.
Hii imenikuta, mwalimu kabla hujamtumia hela anakuwa mchangamfu sana kukujibu, ukishamtumia tu anaona tabu hata kujibu sms zako.
KAMA MSHAHARA HAUTOSHI ANZISHENI MIRADI SIO KUTEGEMEA PESA ZA MATUMIZI ZA WANAFUNZI, MUNAKATILI WATOTO.
Mzazi unahangaika unapata chochote kitu unaamua kumtumia mwanao pesa ya matumizi, kwa kuwa wanafunzi hawaruhusiwi kumiliki simu tunatumia namba zenu walimu kama munavyotuambia.
Sasa baadhi ya walimu hamna uaminifu, unatumiwa pesa ya mtoto na unakubali kabisa na kusema unamjua ila ukitumiwa pesa haumpatii mtoto. Mtoto anaendelea kupata shida wakati pesa alishatumiwa na mzazi wake. Hii tabia inakera na sio uungwana.
Hii imenikuta, mwalimu kabla hujamtumia hela anakuwa mchangamfu sana kukujibu, ukishamtumia tu anaona tabu hata kujibu sms zako.
KAMA MSHAHARA HAUTOSHI ANZISHENI MIRADI SIO KUTEGEMEA PESA ZA MATUMIZI ZA WANAFUNZI, MUNAKATILI WATOTO.