Wewe hujielewi, na ni miongoni mwa matapeli, unafikiri kila shule ipo mjini. Shule ipo km kadhaa kutoka mjini, kwa hiyo afunge safari ya masaa manne kwa ajili ya kutoa ela, na shule hawaruhusu mwanafunzi kutoka tu kiholela nje ya shule, pesa ya matumizi wanataka zitumwe kwa walimu. Au Haujasoma Boarding itakuwa.