Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
sio wa dar tu mkuu, hata huku Nyakanazi nawaonaWANAUME WA DAR MNAITWA HUKU SISI WAPIGA KINANDA KANISANI NA MASURUALI YETU KAMA FUKO LA MASHINE TUTASOMA MAONI KWA UMAKINI.
sijasema ni sawa. ila huwa lengo lao tunalijua.Kwahio wakike kuvaa zakubana nisawa tuu? Acha ubwege
Na ya plastiki ndio inatumikana unaivua kwa kutumia mfuko
mbona hata hao maaskofu wenu huko kanisani wanavaa sut zakubana?nakunyoa viduku malengo Yao unayajua bwana damu yayesu?sijasema ni sawa. ila huwa lengo lao tunalijua.
ni hatari!Wanaume og wamekua wachache sana siku hizi
Inasikitisha sana, wanavaa ywakubana nao wanaonesha walivyo maashalaWanaume kuvaa visuruali vya kuwabana, inamaanisha nini? tunajua wadada huvaa vinguo vya kuwabana ili kuwaonesha wanaume maumbile yao; je, mwanaume naye huwa ana lengo lipi?
Nasema hivi nikizingatia kushamiri kwa ushoga now days! Fashion? Labda ni ya kutokea kuzimu. Kuzimu imetumia watu wa Magharibi kuichafua sana dunia. Sisi ni kuiga tu bila hata kujiuliza! Fashion?
Jesus is Lord & Saviour
kuna mambo mengine hayajeruhi mwili, yanajeruhi saikolojia.Jifunze kuishi maisha Yako .... Usiangalie Nini Fulani kafanya as long as hakijakujeruhi mwili wako...Haina haja ya kuhoji mtu hata akuamua kutembea uchi...
πππBwanga mwanzo mwisho,uongo?