cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umemalizaaaaaaa!!!!!Jifunze kuishi maisha Yako .... Usiangalie Nini Fulani kafanya as long as hakijakujeruhi mwili wako...Haina haja ya kuhoji mtu hata akuamua kutembea uchi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemalizaaaaaaa!!!!!Jifunze kuishi maisha Yako .... Usiangalie Nini Fulani kafanya as long as hakijakujeruhi mwili wako...Haina haja ya kuhoji mtu hata akuamua kutembea uchi...
Achana na hayo, km saikolojia yako unapeleka huko, wao sio shida zao.kuna mambo mengine hayajeruhi mwili, yanajeruhi saikolojia.
can u live in the society and be free from the society?
Wanaume kuvaa visuruali vya kuwabana, inamaanisha nini? tunajua wadada huvaa vinguo vya kuwabana ili kuwaonesha wanaume maumbile yao; je, mwanaume naye huwa ana lengo lipi?
Nasema hivi nikizingatia kushamiri kwa ushoga now days! Fashion? Labda ni ya kutokea kuzimu. Kuzimu imetumia watu wa Magharibi kuichafua sana dunia. Sisi ni kuiga tu bila hata kujiuliza! Fashion?
Jesus is Lord & Saviou
Acha vijana wawe vijana hata wazazi wao nao miaka ya 70 walivaa tights hivyo hivyoMkuu sikuhizi makanisani ndio balaa vijana wanavaa modo zile za kuweka zipu miguuni na anaimba kwaya vizuri tu. Kiufupi hii ni tabia iliojengeka kwenye jamii baada ya wazazi kutotaka kulea watoto vizuri. Na kwawale watuwazima wanaovaa mibano basi kuna tatizo sehemu.
Na chululuWanabana nyanya chungu...
Atafute na mfuko wa kuvulia[emoji23][emoji23]Kuivaa suruali ni lazima ulale kitandani.
Ila nakutaka sana wewe mwanamke. Unanikimbia kimbiza TU kwani uneambiwa Mimi mzee...🤣🙆Umemalizaaaaaaa!!!!!
Sasa kama dada zao wanavaa hivyo kwanini wenyewe wasivae?Wanaume kuvaa visuruali vya kuwabana, inamaanisha nini? tunajua wadada huvaa vinguo vya kuwabana ili kuwaonesha wanaume maumbile yao; je, mwanaume naye huwa ana lengo lipi?
Nasema hivi nikizingatia kushamiri kwa ushoga now days! Fashion? Labda ni ya kutokea kuzimu. Kuzimu imetumia watu wa Magharibi kuichafua sana dunia. Sisi ni kuiga tu bila hata kujiuliza! Fashion?
Jesus is Lord & Saviour
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu njoo unipatee bas.Ila nakutaka sana wewe mwanamke. Unanikimbia kimbiza TU kwani uneambiwa Mimi mzee...[emoji1787][emoji134]
And vice versa is trueWanaume og wamekua wachache sana siku hizi
Nakupatia wapi na wewe unaruka ruka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu njoo unipatee bas.
huoni wanavaa hadi sidiria? "kimuiga dada"Sasa kama dada zao wanavaa hivyo kwanini wenyewe wasivae?
Nipo mbna emu njoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakupatia wapi na wewe unaruka ruka...
Nimesha ghaili sikutaki tenaNipo mbna emu njoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamtaka nani sasa?Nimesha ghaili sikutaki tena
Mpenzi wangu sabuni ajawahi kuniangusha sio wewe nakubembeleza mwaka mzima kama naomba kazi vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamtaka nani sasa?