Kero binafsi kuhusu wanaume kuvaa nguo za kubana

Kero binafsi kuhusu wanaume kuvaa nguo za kubana

Wanaume wa Dar mnaitwa huku, sisi wapiga kinanda Kanisani na masuruali yetu kama fuko la mashine tutasoma maoni kwa makini.
Mkuu sikuhizi makanisani ndio balaa vijana wanavaa modo zile za kuweka zipu miguuni na anaimba kwaya vizuri tu. Kiufupi hii ni tabia iliojengeka kwenye jamii baada ya wazazi kutotaka kulea watoto vizuri. Na kwawale watuwazima wanaovaa mibano basi kuna tatizo sehemu.
 
Wanaume kuvaa visuruali vya kuwabana, inamaanisha nini? tunajua wadada huvaa vinguo vya kuwabana ili kuwaonesha wanaume maumbile yao; je, mwanaume naye huwa ana lengo lipi?

Nasema hivi nikizingatia kushamiri kwa ushoga now days! Fashion? Labda ni ya kutokea kuzimu. Kuzimu imetumia watu wa Magharibi kuichafua sana dunia. Sisi ni kuiga tu bila hata kujiuliza! Fashion?


Jesus is Lord & Saviour

Wanaziita MODO aka VICHUPA....Ngoja waje wavaa vimodo waje kutupa mrejeho
 
Back
Top Bottom