Mkuu sikuhizi makanisani ndio balaa vijana wanavaa modo zile za kuweka zipu miguuni na anaimba kwaya vizuri tu. Kiufupi hii ni tabia iliojengeka kwenye jamii baada ya wazazi kutotaka kulea watoto vizuri. Na kwawale watuwazima wanaovaa mibano basi kuna tatizo sehemu.Wanaume wa Dar mnaitwa huku, sisi wapiga kinanda Kanisani na masuruali yetu kama fuko la mashine tutasoma maoni kwa makini.
We Shindana na dada zako mwisho upasuliwe spika ibaki kukoroma tuKwahio wakike kuvaa zakubana nisawa tuu? Acha ubwege
kwa kweli siyajuimbona hata hao maaskofu wenu huko kanisani wanavaa sut zakubana?nakunyoa viduku malengo Yao unayajua bwana damu yayesu?
Wanabana alafu hawaishi kulalamika kwamba hawaendi mbio ndefu...🤣Wanabana nyanya chungu...
ili iweje sasaWanabana nyanya chungu...
unatafuta basha ee? njoo dmWe Shindana na dada zako mwisho upasuliwe spika ibaki kukoroma tu
Ahhhh
Kabla sijaja huko pm jiulize swali hili nitatoboa kweli ????unatafuta basha ee? njoo dm
kwamba unachura kubwa sana kiasi chakunihofia mrembo?Mimi nikakake mandingo niña uboho wakukutosha wewe mrembo please come dm cuteKabla sijaja huko pm jiulize swali hili nitatoboa kweli ????
Simaanishi hivyo hujanielewa kijana..kwamba unachura kubwa sana kiasi chakunihofia mrembo?Mimi nikakake mandingo niña uboho wakukutosha wewe mrembo please come dm cute
usihofu mrembo njoo tu dm Kuna maua yako huna baya.Simaanishi hivyo hujanielewa kijana..
Haya chief..Tuyaache haya tuendelee na mijadala mingine maana naweza nikawa napiga kelele na kijana under 28 hapa.usihofu mrembo njoo tu dm Kuna maua yako huna baya.
shukrani mkuu✋Haya chief..Tuyaache haya tuendelee na mijadala mingine maana naweza nikawa napiga kelele na kijana under 28 hapa.
Wanaume kuvaa visuruali vya kuwabana, inamaanisha nini? tunajua wadada huvaa vinguo vya kuwabana ili kuwaonesha wanaume maumbile yao; je, mwanaume naye huwa ana lengo lipi?
Nasema hivi nikizingatia kushamiri kwa ushoga now days! Fashion? Labda ni ya kutokea kuzimu. Kuzimu imetumia watu wa Magharibi kuichafua sana dunia. Sisi ni kuiga tu bila hata kujiuliza! Fashion?
Jesus is Lord & Saviour
KOment ya kibasha hiiInasikitisha sana, wanavaa ywakubana nao wanaonesha walivyo maashala
Yanakujeruhi vipi wakati ni mambo Yao binafsi...kuna mambo mengine hayajeruhi mwili, yanajeruhi saikolojia.
can u live in the society and be free from the society?