Kero binafsi kuhusu wanaume kuvaa nguo za kubana

Wanaume wa Dar mnaitwa huku, sisi wapiga kinanda Kanisani na masuruali yetu kama fuko la mashine tutasoma maoni kwa makini.
Mkuu sikuhizi makanisani ndio balaa vijana wanavaa modo zile za kuweka zipu miguuni na anaimba kwaya vizuri tu. Kiufupi hii ni tabia iliojengeka kwenye jamii baada ya wazazi kutotaka kulea watoto vizuri. Na kwawale watuwazima wanaovaa mibano basi kuna tatizo sehemu.
 

Wanaziita MODO aka VICHUPA....Ngoja waje wavaa vimodo waje kutupa mrejeho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…