Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Madereva wa gari ndogo nyie kila mtu ana haraka, mkiachwa wenyewe soon mnaparuana afu muanze kumsubiri traffic aje apime huku mmesababisha bonge la foleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama mtu amepita Mlimani City maana yake baadhi ya hizo barabara anaweza kuzitumia kufika aendako.Inategemea anaenda wapi.
Sasa kama mtu amepita Mlimani City maana yake baadhi ya hizo barabara anaweza kuzitumia kufika aendako.
Kama kapanda daladala ndiyo changamoto inazidi.
🤣🤣🤣🤣🤭uje utembee wewe sasa.
Kwani pana umbali gani sasa hapo jamani🥴🙄Wewe unaijua Dar? Unaweza kutembea kutoka Dege Wilaya ya Kigamboni hadi Mabwepande wilaya ya Kinondoni?
Huwa wanafunga junction kabisa. Hakuna anaeenda wanabaki kulaumiana.Madereva wa gari ndogo nyie kila mtu ana haraka, mkiachwa wenyewe soon mnaparuana afu muanze kumsubiri traffic aje apime huku mmesababisha bonge la foleni.
Mpige picha!Foleni mlimani City ni kero.
Kila asubuhi Traffic huongoza magari upande hasa yanayotokea Goba/UDSM kupita na kusababisha foleni kubwa kwa magari yanayotoka Ubungo.
Foleni unaweza kukaa mpaka nusu saa wakati kuna round about ilipaswa kupunguza foleni.
Ni kero kubwa inayosababisha wengi wetu kuchelewa makazini.
Unaendeleaje?Huwa wanafunga junction kabisa. Hakuna anaeenda wanabaki kulaumiana.
😂😂😂😂wenye magari yenu basi mnigaie mojaWewe peke yako humu JF ndio huna gari....alisikika chizi mmoja akiropoka.
Ongea na watu vizuri. Mtoto mzuri kama wewe hapa mjini hutakiwi kupanda daladala wala bodaboda.😂😂😂😂wenye magari yenu basi mnigaie moja
Hiyo njia kutokea Goba ikishafika saa 1:30 Traffic wanaanza kuvuta Waheshimiwa...Foleni mlimani City ni kero.
Kila asubuhi Traffic huongoza magari upande hasa yanayotokea Goba/UDSM kupita na kusababisha foleni kubwa kwa magari yanayotoka Ubungo.
Foleni unaweza kukaa mpaka nusu saa wakati kuna round about ilipaswa kupunguza foleni.
Ni kero kubwa inayosababisha wengi wetu kuchelewa makazini.
Upoooo kaka angu?Kwa hiyo shida hapa ni huyo trafiki au nini? Nini kifanyike ili kupunguza hiyo foleni? Trafiki aondolewe ili raundi abauti itumike au iweje? 😳🤔
Hiyo njia kutokea Goba ikishafika saa 1:30 Traffic wanaanza kuvuta Waheshimiwa...
Watu wanaotokea Mawasiliano/Ubungo kwenda Mwenge ni bora kutumia Mbadala swinging tu.......
Na ukifika Getini unamkuta boss kashika Muanzi anatandika wachelewaji bila kujua anaesababisha yote hayo ni traffic wa UbungoNi kero kubwa inayosababisha wengi wetu kuchelewa makazini.
😂😂😂😂nasoma hii nikiwa nasubiri bodaboda 😂Ongea na watu vizuri. Mtoto mzuri kama wewe hapa mjini hutakiwi kupanda daladala wala bodaboda.