Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee,usiniambie upo mbeya na umenichuniaSijawahi kuishi dar zaidi ya miezi miwili kwa hapo sina cha kusema mama angu😊😊
Sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu dar wilaya mpaka wilaya kutembea kwa mguu hata siyo mbali,sembuse kituo hadi kituo....acheni uvivu
Waheshimiwa wa kutoka huko Mbezi beach?Hiyo njia kutokea Goba ikishafika saa 1:30 Traffic wanaanza kuvuta Waheshimiwa...
Watu wanaotokea Mawasiliano/Ubungo kwenda Mwenge ni bora kutumia Mbadala swinging tu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasoma hii nikiwa nasubiri bodaboda [emoji23]
Umeandika as if una uhakika mwenzako anaendesha usafiri wake binafsi anaweza akabadili njia. Labda yupo kwenye daladala na mahali anapotokea daladala zinapita hapoKuna njia mbadala.
1. Unaweza kupita Mawasiliano (Terminal) Road ukaingia Sinza Mugabe then ukaenda zako aidha kupita Barabara ya Tandale Hadi Kawawa Road then Ally Hassan Mwinyi.
2. Pita Morogoro Road then Shekilango halafu Bagamoyo Road.
Foleni inaweza ikawa inasababishwa na dereva kutokujua njia mbadala.
Mpaka treni za chini ya ardhi ziwekwe ndio foleni itakwisha Dar. Lakini akili hii sio ya CCM!Foleni mlimani City ni kero.
Kila asubuhi Traffic huongoza magari upande hasa yanayotokea Goba/UDSM kupita na kusababisha foleni kubwa kwa magari yanayotoka Ubungo.
Foleni unaweza kukaa mpaka nusu saa wakati kuna round about ilipaswa kupunguza foleni.
Ni kero kubwa inayosababisha wengi wetu kuchelewa makazini.
🤣🤣🤣 Wee,usiniambie!?🥴Sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani uongo Mwaisa?🤣🤣🤣Niachee
Aisee ni kweli nilivyokuwa ninaandika nilisahau kwamba Kuna watu hawana usafiri binafsi.Umeandika as if una uhakika mwenzako anaendesha usafiri wake binafsi anaweza akabadili njia. Labda yupo kwenye daladala na mahali anapotokea daladala zinapita hapo
Hongera sana😀Aisee ni kweli nilivyokuwa ninaandika nilisahau kwamba Kuna watu hawana usafiri binafsi.
Kero za usafiri zilinifanya ninunue usafiri mdogo. Kwa Sasa ninasafiri njia niipendayo.
Asante😃Hongera sana😀
Sio madereva kabisa hawa, ukiwaachia kidogo tu hamna gari inapita, afadhari daladala huwa wanaongea na kuachiana nafasi wapite. Gari ndogo kila mmoja kapandisha kioo juu na mziki/redio wala hasikii chochote kapoa tu.Huwa wanafunga junction kabisa. Hakuna anaeenda wanabaki kulaumiana.