KERO Kero foleni Mlimani City, Dar

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Umeandika as if una uhakika mwenzako anaendesha usafiri wake binafsi anaweza akabadili njia. Labda yupo kwenye daladala na mahali anapotokea daladala zinapita hapo
 
Mpaka treni za chini ya ardhi ziwekwe ndio foleni itakwisha Dar. Lakini akili hii sio ya CCM!
 
Umeandika as if una uhakika mwenzako anaendesha usafiri wake binafsi anaweza akabadili njia. Labda yupo kwenye daladala na mahali anapotokea daladala zinapita hapo
Aisee ni kweli nilivyokuwa ninaandika nilisahau kwamba Kuna watu hawana usafiri binafsi.

Kero za usafiri zilinifanya ninunue usafiri mdogo. Kwa Sasa ninasafiri njia niipendayo.
 
Huwa wanafunga junction kabisa. Hakuna anaeenda wanabaki kulaumiana.
Sio madereva kabisa hawa, ukiwaachia kidogo tu hamna gari inapita, afadhari daladala huwa wanaongea na kuachiana nafasi wapite. Gari ndogo kila mmoja kapandisha kioo juu na mziki/redio wala hasikii chochote kapoa tu.
 
Kuanzia Ubungo hadi Mwenge ilitakiwa ijengwe barabara ya juu ili kuondoa foleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…