Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Sasaa ya faraghani,yanafurukutaje uwanjani,tena uwanja wa wazii๐Ÿคฃ
 
Swala la kunuka mdomo ndugu kiukweli usilizungumzie kwa sauti kubwa sana kwasababu mtu huwa hajisikii harufu yake mwenyewe ya kinywa kama anavyoweza kusikiwa na mtu wa karibu wanaefanya mazungumzo au chochote, pengine hata wewe hiyo hali unayo ili hujijui na anakuvumilia tu.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
and? hili ni suali,, riwaya au nyimbo za mitaani? yaani umeandika hii topic kwa lengo gani hasa?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ