Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Mshana jr.


Unasema hujafikishwa kileleni na dawa za kulevya baada ya Bashite kuzi BAN.


Hahahahahaaaaaaa
 
Cha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi
Mmmmhhh!!

Kumbe ishu ya tinted ilianza kitambo
 
Cha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi
Mimi naona ndio mipango yenyewe.....yaani lengo ni kuanzisha na kuishia njiani tofauti na sisi tuanavyofikiria ya kuwa tukianziasha lazima tufike mwisho
NB:ni janga la kitaifa kutokufika kileleni kwa wanawake wengi(sector nyingi)
 
Sio hayo tu, yapo mengi. Mi naonaga Bashite na Bakayoko wanafanyaga filam au movie zisizokwisha. Hivi yale makinikia yaliishia wapi? Tuliambiwa tunawadai wale jamaa mihela mingi mbona mpaka leo kimya?
Vile vigari vilivyokuwa pale bandari salama viliishia wapi? Na kile kichwa cha treni asiyefahamika mwenyewe je?
Yaan mambo yanaisha kimya kimya tu
Wanatafuta kick tu waandikwe sana kwenye media na wajadiliwe. Hamna cha maana wanachofanya.
 
Kileleni na pigaga hadi anasema imetosha tayari, sijui ndo hapo kileleni penyew au ni vepe
 
Ningekua na dada ningekupa bureeee Mshana jr sio kwa hoja hizi, siku zote kibamia hakiwezi kufikisha kileleni
 
Back
Top Bottom