Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comrade mshana jr.Tufukue makaburi. . tukikosa chakula tule viporo
Mmmmhhh!!Cha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi
Hahahahahahaaaa.mshana shikamoo nimekuja mbio najua mambo ya kilele kile
Mungu ni mwema!!Kumepambazuka tena
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakitaka kufanya yasiyojulikana ndio inafufuka.Inakufa na kufufuka kila mara
Mimi naona ndio mipango yenyewe.....yaani lengo ni kuanzisha na kuishia njiani tofauti na sisi tuanavyofikiria ya kuwa tukianziasha lazima tufike mwishoCha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi