Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Hata jambo la usafi wa jumamosi. Watu hawafanyi usadi ila wanapoteza muda wa biashara. Maamuzi yake hayana maandalizi yoyote.
 
Ilipigwa chini na wahusika wenyewe...
Cha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi
 
Kama ukiamua kuwa banditu baki hivyohivyo usiwe kama mkate mgumu mbele ya chai
Mwanaume kakaa mahabusu siku zaidi ya 100 lakini katoka na tabasamu wewe Leo kuombwa tu kuonyesha vyeti unamwaga michozi hadharani! Nini maana ya kuwa kiongozi?

Jr[emoji769]
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…