Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Teh teh..Hakuna kilele ambacho Makonda anaweza kumfikisha mtu..Si ndani wala nje
[emoji102] [emoji102] [emoji31] [emoji144] [emoji125] [emoji125]
 
Wamejaa wapenda papuchi sasa ndio wanao reply sana, mwishoe hoja ya msingi itasahaulika hapa, umegusa kunako kuu,huyu Mungu mtu wa bandari salam amekua na hulka ya kuannzisha operation na kuziachia njiani,amekua sio mtendaji bali atention hunter
 
Mshana acha zako, mi nikajua nakutana na orgasm mubashara[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wamejaa wapenda papuchi sasa ndio wanao reply sana, mwishoe hoja ya msingi itasahaulika hapa, umegusa kunako kuu,huyu Mungu mtu wa bandari salam amekua na hulka ya kuannzisha operation na kuziachia njiani,amekua sio mtendaji bali atention hunter

Mshana acha zako, mi nikajua nakutana na orgasm mubashara[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sijasoma bado ulichokiandika. Bt Mbona umepotea hivyo hadi natoa matangazo ktk magazeti bro?
 
Ah ah ah ah nilichokitarajia kukikuta sijategemea na heading yake. Haya upo vzr kwenye fasihi andishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…