Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Nusu niipotezee topic, nilijua umeanza darasa lako la kufunda, ila huyu bashite akishachoka kukaa huko bondeni, makomeo akimrudisha, tunaomba arudi moja kwa moja kolomije kulima vitunguu.

Simu yako ndio lile toleo jipya
 
We Mshana kiboko ulivoanza khaa umeniacha hoi ukahamia kwa Daudi Bashite teena jamani sasa hivi mwenzetu akirudi toka South Africa ataenda Mawingu fm kulia tena
 
Inawezekana tabia ya mfikishwa ikasababisha mfikishaji asifikishe. Wengi wanaangalia upande wa kiza wa muanzilishi ila hatuoni upande wa mwanga na hii ni tabia ya umasikini katika jamii.
 
Nusu niipotezee topic, nilijua umeanza darasa lako la kufunda, ila huyu bashite akishachoka kukaa huko bondeni, makomeo akimrudisha, tunaomba arudi moja kwa moja kolomije kulima vitunguu.

Simu yako ndio lile toleo jipya
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unapoona kwenye mahusiano watu wanagombana lakini hawaachani jua hao wanapendana sana na hutimiziana haja zao mubashara kabisa! Hufikishana kileleni!!!
Mahusiano mengi yamevunjika kutokana na tatizo sugu la kutofikishana kileleni hakika hii ni Kero kubwa mno
Elimu ina pande mbili, unaweza kusoma na ukafaulu mitihani lakini usielimike na mwingine anaweza asisome elimu rasmi lakini akaelimika na kuwa mtu bora kabisa
Ni katika hilo la elimu kuna utashi utayari kujituma kuelewa na kiwango cha IQ pia! Kuna watu kwa njia za ajabu kabisa wamepata mafanikio yanayoliliwa na wengi lakini kwakuwa kiwango chao cha ufahamu ni kidogo sana wamejikuta wanaangukia pua na kufeli kabisa
Kwenye mfumo wa taa za magari kuna taa inawaka sana inaitwa spotlight...hii haiwashwi hovyo! Dar es salaam ni spotlight ya nchi kuna tofauti kubwa sana kati ya rc wa Kigoma na rc wa Dar
Chochote kinachofanywa Dar kinakuwa kama mwongozo wa kwingine kote
Mtu ambaye anabamba sana kwasasa kwenye mijadala ni bwana Makonda (bashite?) vyovyote iwavyo kati ya wengi wanaomponda wengine ni kutokana tu na wivu na kijicho! U-rc wa Dar si nafasi ndogo ati pesa hata kama huitaki itakufuata tu na ukiikataa basi unahitaji kupimwa akili
Tumjadili rc kwa hulka yake ya kutotimiza yale anayoyaanzisha. Hili halina tofauti na ile Kero ya kutofikishwa kileleni
Hulka hii mbaya ni sawa na chumba kile cha mahututi gereza la fikra
Haya yameishia wapi?
Vitambulisho maalum vya walimu ili wapande bure
Dar tuitakayo
Operation Ondoa ombaomba
Kero za wanadarisalama
Na operation nyingine nyingi zilizifeli kabisa
Shida ni moja maandalizi na kushirikishana hakuna. Lakini Dar ni jiji lenye wataalam na wasomi wa kila kaliba iweje hakuna kujadiliana kwanza?
La dawa za kulevya ndio bye-bye tumeachwa na hamu zetu hatujafikishwa kileleni tunachafuliwa tu kila wakati
Kama ukiamua kuwa banditu baki hivyohivyo usiwe kama mkate mgumu mbele ya chai
Mwanaume kakaa mahabusu siku zaidi ya 100 lakini katoka na tabasamu wewe Leo kuombwa tu kuonyesha vyeti unamwaga michozi hadharani! Nini maana ya kuwa kiongozi?
kama mmechafuliwa bila kufikshwa kileleni, chepukeni!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Mshana Jr...umeanza kama hueleweki vile lkn mwisho umeeleweka hata kwa yule aliyepata Bashite mtihani wa darasa la NNE kwenda la tano.
 
Kama unataka kufikishwa kileleni, kapande mlima kilimanjaro..
 
Hili la kutofikishwa kileleni linatuathiri sana lkn nikitafakari zaidi napata shida kuamini kama mama Daudi kweli anafikishwa kilele au jamaa si riziki! Kwakweli sijui ..naishia kuguna maana matokeo yakufikishwa kilele kwa mama yule ni kuongezeka lkn mpaka leo ile namba haigawanyi kwa yoyote zaid ya moja na yenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wapenda ngono tumekuja tunakutana na intelligensia ya ajabu!!! Mkuu kapangilia hoja yake vizuri sana
Unapenda lakini cha ajabu hutaki nikupe koni.... Sijui kabisa upoje ati.
 
mshana umetisha mkuu ulipotea siku kadhaa bila shaka ulikuwa unaandaa nondo hizi...
Bashite naskia amechukua likizo ya miezi miwili kaenda kujipumzikia SA maana najua jiji limekuwa chachu.
Nawaache kukurupuka ovyo tunaanza na mmoja mmoja tu mpaka tuwamalize
 
Mshana makonda bashite hajafikishwa kileleni ndio maana analia. Target yake ilikuwa kumimpress bwana mkubwa nasikia utakatifu nako hautaki na eti ukimwita mtakatifu au mtukufu basis ni uchochezi ili trust alokuwanayo kwa bosi isipotee. Kumbe jamaa kashashituka na sasa
 
Cha kushangaza sana kumbe haya mambo yanaambukiza. Nimejaribu kuangalia sekta nyingine mambo ni yaleyale! Operation za jeshi la police za tinted na spotlight sijui zimeishia wapi
Bro umenivuta vizuri sana,nikajua yale mambo ya faragha sheikh..kumbe ufundi flani tu wa kiuandishi katika kuivuta hadhira.
 
Unamaanisha anaishia kuzama tu chunvini na kusinzia fofofo?
 
Mshana Jr. Ktk Ubora wake.... Lakini kabla sijausoma uzi huu, nilijiuliza sana.. Mshana kapotea lini njia ya Mambo haya ya ngono tena... Tena hasa wkt huu wa Kwaresma..!! Respect mkuu.
 
Back
Top Bottom