Kero katika mahusiano ya ndoa ....

madai yao eti huko bar ndo kuna madili ya kazi; sijui hayo madili yakiongelewa maofisini huwa hayakamiliki?
 
kwangu ilikuwa ngumu! nilikuwa namfungulia lakini ndio nilikuwa c ulizi cha nini wala nini, kumfungia nje hiyo hapana jamani....
i dn't think kama ilikusaidia chochote zaidi ya kumuongezea wigo mwekezaji KUJIVINJARI NA TOTOOZ mbichi mbichi zaidi ako!

huwa mnakosea APPROACH(a way foward) ninyi watu
 
Mbu ni sawa unaweza kumzoea ila inakera pale mida hiyo mibovu umelala yeye anataka kudumisha mila kha...hii ni sipendi yangu

...heri ya huyo kuliko anayemalizia 'mila' zote huko nje, nyumbani ni mzungu wa nne.
 
i dn't think kama ilikusaidia chochote zaidi ya kumuongezea wigo mwekezaji KUJIVINJARI NA TOTOOZ mbichi mbichi zaidi ako!

huwa mnakosea APPROACH(a way foward) ninyi watu

Teamo bwana mambo yako...you made my day looh nimepata nguvu ngoja nianze kufungulia radio kusikia hii budgjet....khuuuuuuuuu
 
Teamo bwana mambo yako...you made my day looh nimepata nguvu ngoja nianze kufungulia radio kusikia hii budgjet....khuuuuuuuuu
MI nishapigia simu dereva akamcheki bibi-harusi wa jumamosi maanake dah!hili baridi la arusha leo sijui itakuwaje tutafia kwenye makreti wengine...

HEBU ANGALIA BEI ZA ALKOHOLI kama zimepanda sana then nishtue nione kama nitaendelea au nahamia kwenye chibuku:A S tongue:
 
Haya endelea kulea huo uozo! kesho utatujia hapa na jingine...but try your side lakini...inategemea tokea enzi za uboyfriend na ugirlfriend ulimtreat vipi??

...ha ha ha, yaaani? Wife karudi late eti nimfungie mlango? Never bana... najua 'wafadhili' watamdaka juu kwa juu!
 

Suala la kuchelewa kurudi nyumbani au kutopenda kukaa nyumbani linaweza kuchangiwa na mambo mengi. Mara nyingi inaweza kuwa ni kasoro ya mume mwenyewe tu. Lakini kuna baadhi ya cases ambapo mwanamke anaweza akawa ndio sababu kubwa ya mume kutopenda kukaa (kurudi mapema) nyumbani. So ni muhimu kulitizama suala hili on a case by case basis badala ya kufanya conclusion ya kijumla kwamba tatizo ni mume.

So ni lazima ujiulize/uchunguze:
- Anachelewa wapi?
- Kwa nini anachelewa? Au nini kinamchelewesha?
- Kuna kitu anakikosa hapo nyumbani?
- Kuna kitu kinamkera akiwa hapo nyumbani?
- Je tabia hii ni endelevu au ni kwa vipindi fulani fulani? (say mwisho wa mwezi nk nk).
 

umeniacha hoi...wewe kweli chiboko
 
i dn't think kama ilikusaidia chochote zaidi ya kumuongezea wigo mwekezaji KUJIVINJARI NA TOTOOZ mbichi mbichi zaidi ako!

huwa mnakosea APPROACH(a way foward) ninyi watu


ilinisaidia tena sana sana tu...mbona alijirekebisha mwenyewe!..c mnapendaga attention mkiiosa mnaumwa.
 
ilinisaidia tena sana sana tu...mbona alijirekebisha mwenyewe!..c mnapendaga attention mkiiosa mnaumwa.
hehehe!alichokifanya ni ''kuku-please wewe'' kwa kufanya BILA WEWE KUJUA!which is7*7-49.tena aliamua kufanya hivyo KWA HESHIMA YA WATOTO AMBAO SASA NDO WANAKUA!otherwise usijihakikishie kuwa YOU HAVE CHANGED HIM
 
hivi uko kwenye maandalizi ya send off kweli??
hehehe!sasa mama hii ni sendoff mi nimekuja mpa kampani mshkaji ndo nisinywe hata valuu tatu?namalizia ya pili naagiza ingine then nasepa:focus:
 
yani nikisikia mambo km aya yani napata uoga kabisa wa kitu ndoa......

life z tooooooo shot

Usiogope mtoto mzuri eeh!!!!!!

As you said Life is too short..............to spend it alone! teh teh kuwa na imani tu
 
Hivi na sisi wanawake tungekuwa tunawafanyia hivyo ingekuwa vipi eee? Wadau inabidi mrevenge na nyie angalau once unakuja umekunywa kidogo kama saa 9 au kumi usiku, akufungulie mlango then ukishaingia tu ndani unadai haki yako ya mwili watashika adabu zao
 

Lugha kali sana hiyo Nyamayao!

Ukipika chakula na hasira hakiwezi kuwa kitamu
 

Warning!
Please do not try this
 
naona lile somo la KATIKATI YA MISTARI umeanza kufaulu eeh!leo umepata ''C'':A S tongue:

I still have a very long way to go if this is the score.............

arudi tu mapema home.........
 
Mwanaume unatoka kazini au popote katika shughuli zako za kila siku badala upite nyumbani kuijulia hali familia ndio uendelee na mengine unapitia Bar au kwa marafiki zako,
Na hii foleni ya DSM kweli ni rahisi kupita home ndio utoke tena?! Nway ni mada nzuri sana FL1. Congrats
 
Wadau inabidi mrevenge na nyie angalau once unakuja umekunywa kidogo kama saa 9 au kumi usiku, akufungulie mlango then ukishaingia tu ndani unadai haki yako ya mwili watashika adabu zao

Mmmh....! Kwa jinsi 'walivyo' wababe, inaweza kuwa kinyume chake (mchelewaji ndo akashikishwa adabu:smiling:!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…