Kero katika mahusiano ya ndoa ....

Kero katika mahusiano ya ndoa ....

Mmeoana /or Boyfriend na G/friend mahusiano ya sasa hayatabiriki maana baadhi GF/na BF tayari walishaanza kuishi kama wanandoa:A S 39:

Mwanaume unatoka kazini au popote katika shughuli zako za kila siku badala upite nyumbani kuijulia hali familia ndio uendelee na mengine unapitia Bar au kwa marafiki zako, Mama /Mpenzi kaandaa chakula kasubili utatokea saa tatu/nne /tano huonekani Wife anaamua kulala .

Saa saba /au nane /Tisa mme anaingia kwanza ananuka pombe utampa maji ya kuoga, chakula maybe atakula au atagoma..then anadai unyumba ...:A S-confused1:

Hii naona kama ni Kero kwanza unakuwa umemsumbua usingizi wake kuukatili ,then aanze kujiandaa kisaikolojia ili upate haki yako......kwanini usirudi mapema kaa na family /kuleni pamoja /na muda wa kuingia kulala mnakuwa pamoja........(faragha )

Why .......Why........ Why ????

Samahani nataka kuirudisha topic nyuma... swali langu ni why do women keep tolerating this behavior? I mean if my husband makes excuses for why he cant spend time with me, I will also need to make excuses for why I cant spend time with him... (I can be busy eating; sleeping; going gym; going shopping; have dinners with my friends; going saloon..the list is damn long)

Halafu kwanini huwezi kusema No kama amekuja late? mpaka uanze kujiandaa kisakolojia... mie jamani siwezi jamani...just tried once and I felt depleted the next day (heaven forbid)... hata kazi huwezi kufanya jamani...

First lady do u think this is a game? No if he is too busy and you've already tried telling him how u feel. it is time to show him with your actions....if he doesnt care about u, may be it is time that u stop caring about him and start caring about urself .......
 
Samahani nataka kuirudisha topic nyuma... swali langu ni why do women keep tolerating this behavior? I mean if my husband makes excuses for why he cant spend time with me, I will also need to make excuses for why I cant spend time with him... (I can be busy eating; sleeping; going gym; going shopping; have dinners with my friends; going saloon..the list is damn long)

Halafu kwanini huwezi kusema No kama amekuja late? mpaka uanze kujiandaa kisakolojia... mie jamani siwezi jamani...just tried once and I felt depleted the next day (heaven forbid)... hata kazi huwezi kufanya jamani...

First lady do u think this is a game? No if he is too busy and you've already tried telling him how u feel. it is time to show him with your actions....if he doesnt care about u, may be it is time that u stop caring about him and start caring about urself .......


wanawake walio wengi wanahofia "ndio mwanzo wa nyumba ndogo"...nyumba ndogo my foot!
 
Samahani nataka kuirudisha topic nyuma... swali langu ni why do women keep tolerating this behavior? I mean if my husband makes excuses for why he cant spend time with me, I will also need to make excuses for why I cant spend time with him... (I can be busy eating; sleeping; going gym; going shopping; have dinners with my friends; going saloon..the list is damn long)

Halafu kwanini huwezi kusema No kama amekuja late? mpaka uanze kujiandaa kisakolojia... mie jamani siwezi jamani...just tried once and I felt depleted the next day (heaven forbid)... hata kazi huwezi kufanya jamani...

First lady do u think this is a game? No if he is too busy and you've already tried telling him how u feel. it is time to show him with your actions....if he doesnt care about u, may be it is time that u stop caring about him and start caring about urself .......

Is ok Noname kila mtu hujifunza kutokana na makosa..........ila leo akili yangu imekaa kidogo kizungumkuti
 
Nime kusoma vyema FL1 tena kwa makini sana.

Sasa kwa upande mmoja Issue yako uliyo isema ni kweli kuna baadhi yetu au niseme wengiwetu huwa tuna tatizo hilo la kuanzia uswahilini kabla ya kwenda home na most cases utakuta hakuna cha biashara wala nini ni wachache saana hukutana kwa vitu muhimu na kuwa rudi majumbani mwao sasa hapo nashindwa jua :-
1:-kabla ya ndoa huyu mtu alikuwa na tabia hiii au kaianza after marriege?
2:- na kama tabia hii alikuwa nayo tokea huko nyuma duuuh ipo kazi kweli kweli kumbadirisha ila ni kujitahidi kumsihi na kumwambia marafi zake wa karibu sana ambao huwa anawasikiliza wamambiaapo jambo.
3:-Na kama hii tabia ameianza ndani ya ndoa sasa hapo kuna swala la kukuuliza pia bibie? je arudipo nyumbani huwa hari ya kupokeana ikoje hii haijarishi kama wote huwa mwatoka job jioni?
4:- na Je ndoa yenu mumeichukuaje ni mke na mume tuuu au pia Ni marafiki wa karibu sana maaana katika ndoa bwana kunaitajika uvumilivu na usikivu wa hali ya juu na kujuana kwa ukaribu sana na mkiwa marafiki kwa kiasi kikubwa mtafanikiwa sana upendo utakuwa pia.

naseam kwa uchache tu ila ninayo mengi sana

Je kwa upande wa akina mama kama jinsi mlivyo hamajiulizi yawezekana kuna tatizo gani kati yenu au huwa mna wa bore hawa waume zenu au BF zenu??

na je Huwa mko hali gani mumeo au BF wako arudipo toka job au mkutanapo mahari wewe huwa uko katika hali ipi, isije ikawa kila mkutanapo huwa wewe ni kesi ndio zaanza na kukumbushi jana uliniudhi sana ikapanda ikashuka.

Me nasema swala la ndoa lahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana upendo hekima na kumjua mtu wako kwa ukaribu na kujitahidi kumjua tabia zake zaidi ambazo ulikuwa huzijui kabla na baada ya ndoa au mausiano yenu,

kingine kusikilizana ndio tusema mawasiliano na sio kila patokeapo tatizo mkimblie nje ya ndo kutafuta suruhu ati kuwa na shamba ndogo ya nje au kumwambia mtu matatizo yenu kwanza, hakikisheni nyie wenyewe mkae mpeane muda wakusikilizana makosa yenu na mje na suruhu tena kwa ukarimu na hapo sio mume au mke awe ati na sauti kuliko ya mwezie hapana hapo nikuwa hamtafuti suruhu ni kuongeza ugomvi tuuuu.na kama mtahitaji mtu wa kuwashauri zaidi basi ndio muwafuate watu husika

 
Maisha ndivyo yalivyo, sometimes, ilimradi tu mambo yasiende. Lakini kwa wale wanaume wasiokunywa pombe, wanarudi mapema na wanasaidia baadhi ya kazi za nyumbani mambo ni mazuri??? I'm one of them, but I wish ningekuwa mlevi kama wanaume wengine. Ukikaa nyumbani filimbi hazikomi na unapofika huo wakati wa kwenda kulala tayari kuna vi-bif vya kijinga vingi ambavyo ndo vinakuwa cited kama sababu ya kunyimwa uhaus. Hakuna lililo jema kwa mwanamke kwenye mambo kama haya. There is always KISINGIZIO!!!
kaka umenena... hakuna kizuri kwa m/mke ukiwahi kurudi sana atakuchanganya tu na habari zake za ajabu ajabu mpk mnagombana bora ushinde Bar tu na washikaji mie wangu nimeshamwambia asiulize niko wapi chini ya saa 6 usiku zaidi ya hapo ndio anaweza kuuliza nimemwekea DSTV ile ya $70 aangalie movies mpk achoke ila hasinisumbue chini ya 6 usiku. Wanawake mna kero nyingi sana bora kuchelewa kuliko kuwahi kurudi
 
Ila na nyinyi wanawake mumezidi bwana kama wataka daily by 6pm niwe home sitoweza deal za mtaani nitazipata mda gani.
Ila kwa wanaume kuchelewa mfululizo nayo sio nzuri unaua bendi mara moja au mbili kwa wiki sio mbaya kama una reason za msingi.
Otherwise personally nafuraia maisha ya ndoa though kuna kero za apa na pale kama LEO UNARUDI MDA GANI khaaaaaaaaaa!
 
wanawake walio wengi wanahofia "ndio mwanzo wa nyumba ndogo"...nyumba ndogo my foot!
nyumba ndogo my ass.... wanawake wengine are very (i donno what to call them) , ata ukimpa nini bado ata cheat tuu if he wants to...may be they should lose the fantasy... mie sihofii ku lose a man because i know the real price to pay is when I lose myself... imagine he is doing this to u for a week or a month? u cant sleep, u cant eat ... u will end up like a madwoman ..:sick: and what kind of man will want to live with a madwoman... ?
 
Is ok Noname kila mtu hujifunza kutokana na makosa..........ila leo akili yangu imekaa kidogo kizungumkuti

Opps am sorry darling u will be alright?....ila kijifunza kutokana na makosa ndio inatakiwa... they say experience is the best teacher...hata mie nimejifunza ivyo ivyo mpaka nimefikia hapa ujue nimepitia mengi... I could write a book...we acha tuu...


ivi kizungumkutu ni kiswahili?
 
nyumba ndogo my ass.... wanawake wengine are very (i donno what to call them) , ata ukimpa nini bado ata cheat tuu if he wants to...may be they should lose the fantasy... mie sihofii ku lose a man because i know the real price to pay is when I lose myself... imagine he is doing this to u for a week or a month? u cant sleep, u cant eat ... u will end up like a madwoman ..:sick: and what kind of man will want to live with a madwoman... ?


typo error!....nimeipenda hiyo Noname!
 
jana mr kapigiwa cm na frnd wake tuliocmamia ndoa yake anamwambia naomba uongee na mke wangu mana cmuelewi kabisa, natakiwa kazini hataki niende akihic namdanganya amefunga milango yote funguo kazi2pa chini(ni kaghorofa)..mr akaniambia hebu mcal mke wa fulani uongee nae anachokifanya sio vzr kama mwenzie kaitwa kazini, nilipomcal huyo dada utasema alikuwa anasubiria cal yangu kwa hamu"yes dada na funguo nimezitupa nje amezidi huyu, hana wkend wala holiday, nitamfungulia nitakapojickia)...nikamuuliza una funguo za ziada akasema hapana, alimcal jirani aziokote hizo funguo so akitaka kumfungulia atamcal tena jirani aje amfungulie"...watu wamejichokea bwana.....

huyo mwanaume ndio wale tunaowaita mume *****, ikitokea kwangu hiyo huyo m/mke atajua kwa nn kanga zina maandishi kitenge hakina, hiyo funguo ataifuata kwa kupitia hapo hapo alipoitupia. Kumbe dunia hii kuna wanaume wameshikiwa akili na wake zao? lol .. sikuwa najua hilo
 
huyo mwanaume ndio wale tunaowaita mume *****, ikitokea kwangu hiyo huyo m/mke atajua kwa nn kanga zina maandishi kitenge hakina, hiyo funguo ataifuata kwa kupitia hapo hapo alipoitupia. Kumbe dunia hii kuna wanaume wameshikiwa akili na wake zao? lol .. sikuwa najua hilo

ndo mana hajawa wako!
 
ndo mana hajawa wako!
mmewapata hao hao wa kuwachezea mshukuru, halafu Nyamayao nyie ndio wale mnaojifanya hapa kuongea hivi kumbe mkiwa home mnakuwa wapole dizaini ya NDIO MZEE hakuna kupinga kitu
 
Hizo small house hata ukiwabeba mgongoni mbona huwa wanazitafuta:A S 39:
Yaani hii imani yenu kuwa kila mwanaume lazima awe na nyumba ndogo inawacost sana dada zangu. kwa sababu wakati mwingine mwanaume wala hana haja na hiyo nyumba ndogo lakini kwa kuwa mwanamke amesha-assume anajenga mazingira hayo kwa vitendo mbalimbali mwishowe mwanaume anaona aaah ya nini bwana kujipa tabu na watoto wa kike wamejaa mtaani.
USHAURI WA BURE: Zijalini ndoa zenu bado kuna wanaume hawapendi kuwa na nyumba ndogo....NDIO wapo....
Watch out ladies.
 
huyo mwanaume ndio wale tunaowaita mume *****, ikitokea kwangu hiyo huyo m/mke atajua kwa nn kanga zina maandishi kitenge hakina, hiyo funguo ataifuata kwa kupitia hapo hapo alipoitupia. Kumbe dunia hii kuna wanaume wameshikiwa akili na wake zao? lol .. sikuwa najua hilo
Funzadume utamfanya nini duh? ujue anakupenda mpaka akufungie.... nyie wanaume hampendeki..akhhhhhh mmeoana kwanini sasa kama hamuwezi kukaa pamoja kuongea na kufurahi? sio kuzurura kila siku, urudi umechelewa, hata weekend basi? saa ngapi basi uta mpa raha mwenzako? au raha unaijuwa unapoamua wewe tuu?

we unadhani kumpiga mwanamke ndo uanaume? use ur muscles to help her around the house instead , she will respect and love u and ur muscles ....
 
Noname umesema kweli unajua kuna wanaume/wanawake wengine kupiga wao ndo wanaona ndio njia ya kumuadabisha mwenzake. Karne ya sasa mwanaume/mke anayenyanyua mkono na kumpiga mwenzie huwa namwona wa zamani sana..... basi tu
 
Madame MJ1 Avatar yako inanifanya ninyong'onyee
avatar11417_2.gif
 
Noname umesema kweli unajua kuna wanaume/wanawake wengine kupiga wao ndo wanaona ndio njia ya kumuadabisha mwenzake. Karne ya sasa mwanaume/mke anayenyanyua mkono na kumpiga mwenzie huwa namwona wa zamani sana..... basi tu

MJ1, mbona ivi lakini hii avatar yako inaninyong'onyeza my swwetushka! please do ze nidiful au nimwambia invisible?
 
Back
Top Bottom