Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Naona wafanyabiashara wanashindwa au wanasau kero kuu za Biashara pale Kariakoo.
1. Kuwaruhusu Wachina watoke China waje kuchuuza Biashara zao hapa TANZANIA na kariakoo WACHINA wenyewe wanakopeshana na wanapeana mali kwabei nafuu tofauti na mtanzania anaenda kununua bidhaa China alafu hapo hapo wewe mtanzania huruhusiwi kufanya biadhara hapo China, Sasa inakuwaje sie Tanzania tunawaruhusu Wachina na wageni kuja kufanya Biashara hapa Tanzania kwanini hao wageni wasifanye Biashara za kuanzisha viwanda kuliko kufanya uchuuz pale kariakoo.
Hili nalo linaenda sambamba na Biashara ya mazao kwanini serikali imemruhusu mgen hasa wakenya na waganda kwenda shambani kununua mazao kwa mkulima kwanini serikali isiwadhibiti hao walanguz wakutane sokoni hasa mazao ya mahindi, maharage, viazi, kitunguu, nyanya na vinginevyo.
2. Kero nyingine Ni Hawa Askari Kiukweli Hawa wamekuwa kero kiuhalisia hamna wanachofanya zaidi ya kukulazimisha uwape rushwa Sasa anakusimamisha unampa risiti anasema hyo thamani sio yeye anajua sio anaduka wapi usipofanya wanavyotaka unaingia kwenye matatizo yaan Askari wote hao wapikipiki, wamagari na wale kwenye mageti barabarani.
3. Kodi na malipo yamekuwa mengi sana kwanini huo mrundikano usilipiwe kwenye leseni manispaa pili kwann bidhaa isilipiwe Kodi bandarini nahuku mtaan mtu kusiwe na usumbufu, nafkiri TRA walitakiwa kukadiria full ili mtu ajue analipa Mara moja na anakuwa huru kufanya Biashara yake.
Hz Mambo za TBS, TMDA, fire, usafi, ulinzi, mwenge na nyingine Basi zilipiwe kwenye leseni watazikuta halmashauri kuruhusu na kuwaoa nafasi watu kupita madukan n kutengeneza mazingira ya rushwa.
1. Kuwaruhusu Wachina watoke China waje kuchuuza Biashara zao hapa TANZANIA na kariakoo WACHINA wenyewe wanakopeshana na wanapeana mali kwabei nafuu tofauti na mtanzania anaenda kununua bidhaa China alafu hapo hapo wewe mtanzania huruhusiwi kufanya biadhara hapo China, Sasa inakuwaje sie Tanzania tunawaruhusu Wachina na wageni kuja kufanya Biashara hapa Tanzania kwanini hao wageni wasifanye Biashara za kuanzisha viwanda kuliko kufanya uchuuz pale kariakoo.
Hili nalo linaenda sambamba na Biashara ya mazao kwanini serikali imemruhusu mgen hasa wakenya na waganda kwenda shambani kununua mazao kwa mkulima kwanini serikali isiwadhibiti hao walanguz wakutane sokoni hasa mazao ya mahindi, maharage, viazi, kitunguu, nyanya na vinginevyo.
2. Kero nyingine Ni Hawa Askari Kiukweli Hawa wamekuwa kero kiuhalisia hamna wanachofanya zaidi ya kukulazimisha uwape rushwa Sasa anakusimamisha unampa risiti anasema hyo thamani sio yeye anajua sio anaduka wapi usipofanya wanavyotaka unaingia kwenye matatizo yaan Askari wote hao wapikipiki, wamagari na wale kwenye mageti barabarani.
3. Kodi na malipo yamekuwa mengi sana kwanini huo mrundikano usilipiwe kwenye leseni manispaa pili kwann bidhaa isilipiwe Kodi bandarini nahuku mtaan mtu kusiwe na usumbufu, nafkiri TRA walitakiwa kukadiria full ili mtu ajue analipa Mara moja na anakuwa huru kufanya Biashara yake.
Hz Mambo za TBS, TMDA, fire, usafi, ulinzi, mwenge na nyingine Basi zilipiwe kwenye leseni watazikuta halmashauri kuruhusu na kuwaoa nafasi watu kupita madukan n kutengeneza mazingira ya rushwa.