Hapo mjicheke kwanza😂Duh alafu tunaemgombania yupo lindi na hatujawahi kumuona
Muache aje nimpige pangaUtaingiaje? Funguo unayo?
Aya bana bana utazikwa nazoEndelea kuota
Ni balaa mkuu kero sana afu unaskia mtu anasema wanaupiga mwingiPale imekua kero mpaka stendi za Daladala pande zote mbili posta na kigamboni
Kijana umetumwa NiniDuh alafu tunaemgombania yupo lindi na hatujawahi kumuona
Kumbuka mimi ni generation ilio shindikanaKijana umetumwa Nini
Ndio maana unatembeza dislikeKumbuka mimi ni generation ilio shindikana
Bado sijakudislike kiuhalisiaNdio maana unatembeza dislike
Tutakutana kivukoni nikuonyeshe ukiona jamaa mnene kashika PC ndio MimiBado sijakudislike kiuhalisia
Pale kivukoni ukiona jamaa kavaa kijeshi njoo unikoe kichwani ndio Mimi huyoTutakutana kivukoni nikuonyeshe ukiona jamaa mnene kashika PC ndio Mimi
Afu mweupePale kivukoni ukiona jamaa kavaa kijeshi njoo unikoe kichwani ndio Mimi huyo
Mweusi mneneAfu mweupe
Mara alfu kuishi kigamboni kuliko Kimara.Kuna kuishi kimara kwenda nyumbani hadi upange mstari [emoji81][emoji81][emoji119]
Na foleni yenu ile hatari kakaMara alfu kuishi kigamboni kuliko Kimara.
Mi naishi kimara ila ni kama jehanam, sijawhi enjoi jiji.
Dah violence 😭Kuna kuishi dar halafu kuna kuishi kigamboni😀😀
Kuishi kigamboni n mazoezi tosha.