Kero: Leo huku Moshi tumesimamishwa kwa dakika 45 ili msafara wa Naibu Waziri Mkuu upite

Kero: Leo huku Moshi tumesimamishwa kwa dakika 45 ili msafara wa Naibu Waziri Mkuu upite

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Leo wakazi wa moshi na viunga vyake, tumesimamishwa zaidi ya dakika 45 ili tu kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.

Naambiwa Biteko alitoka kwenye Kili Marathon, sasa alipokuwa anatoka huko kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ndio wanyonge tukawekwa pembeni zaidi ya dakika 45.

Hii sio sawa, tunapoteza muda kwa msafar wa kiongozi ambaye ingewezekana dakika 10 kabla ya kupita kwake ndio tusimamishwe.

Wahusika mlifanyie kazi hili.
 
Naibu Waziri mkuu kwenye kili marathoni, dah.
Hivi Ulaya kwenye zile formula one na marathoni nazo huwa zinazinduliwa na mawaziri?
Huwa naona watu wazito sana Ulaya wakipita barabarani
Kwanza hutangulia pikipiki moja ya polisi, mpaka roundabout au kwenye traffic light
Halafu akifika mwingine yule wa kwanza anaendelea mbele
Halafu unaona gari moja mbele na nyingine nyuma kwisha habari.

Hakuna kufunga barabara hata akiwa mfalme anapita
Bali mtasimamishwa kwa dakika 2 tu
Kuhusu sherehe utaona kwenye TV tu wameenda
Hakuna kiongozi anakata utepe wa daraja huku
 
Leo wakazi wa moshi na viunga vyake, tumesimamishwa zaidi ya dakika 45 ili tu kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.

Naambiwa Biteko alitoka kwenye Kili Marathon, sasa alipokuwa anatoka huko kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ndio wanyonge tukawekwa pembeni zaidi ya dakika 45.

Hii sio sawa, tunapoteza muda kwa msafar wa kiongozi ambaye ingewezekana dakika 10 kabla ya kupita kwake ndio tusimamishwe.

Wahusika mlifanyie kazi hili.
Tuna nchi ya kijinga sn ndiyo maana imejaa umasikini
 
Huwa naona watu wazito sana Ulaya wakipita barabarani
Kwanza hutangulia pikipiki moja ya polisi, mpaka roundabout au kwenye traffic light
Halafu akifika mwingine yule wa kwanza anaendelea mbele
Halafu unaona gari moja mbele na nyingine nyuma kwisha habari.

Hakuna kufunga barabara hata akiwa mfalme anapita
Bali mtasimamishwa kwa dakika 2 tu
Kuhusu sherehe utaona kwenye TV tu wameenda
Hakuna kiongozi anakata utepe wa daraja huku
Sisi tunaongozwa na majitu ya hovyo kabisa
 
Leo wakazi wa moshi na viunga vyake, tumesimamishwa zaidi ya dakika 45 ili tu kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.

Naambiwa Biteko alitoka kwenye Kili Marathon, sasa alipokuwa anatoka huko kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ndio wanyonge tukawekwa pembeni zaidi ya dakika 45.

Hii sio sawa, tunapoteza muda kwa msafar wa kiongozi ambaye ingewezekana dakika 10 kabla ya kupita kwake ndio tusimamishwe.

Wahusika mlifanyie kazi hili.
Biteko awe anakwenda kanisani walao Jumapili na aache kuzurura hovyo nchini.
 
Leo wakazi wa moshi na viunga vyake, tumesimamishwa zaidi ya dakika 45 ili tu kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.

Naambiwa Biteko alitoka kwenye Kili Marathon, sasa alipokuwa anatoka huko kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ndio wanyonge tukawekwa pembeni zaidi ya dakika 45.

Hii sio sawa, tunapoteza muda kwa msafar wa kiongozi ambaye ingewezekana dakika 10 kabla ya kupita kwake ndio tusimamishwe.

Wahusika mlifanyie kazi hili.
Kwanini asipelekwe KIA kwa Helicopter!
 
Halafu kwanini wasimamishe magari? why wasitumie helicopter badala ya kusumbua watu?
Sioni sababu zozote za kusimamisha masaa.
Ni mambo ya ajabu sana
Wanaona kama hamna shughuli za kufanya
Hii alisema Makamu wa Rais Dr Mpango na kulipinga kabisa usumbufu huu.

Tatizo la hapo ni kuwa kiongozi anaposema hoja analiacha hapo hapo badala ya kuifanya sheria ikaingia kwenye vitabu
Matamko mengi bila faida

Poleni
 
Huwa naona watu wazito sana Ulaya wakipita barabarani
Kwanza hutangulia pikipiki moja ya polisi, mpaka roundabout au kwenye traffic light
Halafu akifika mwingine yule wa kwanza anaendelea mbele
Halafu unaona gari moja mbele na nyingine nyuma kwisha habari.

Hakuna kufunga barabara hata akiwa mfalme anapita
Bali mtasimamishwa kwa dakika 2 tu
Kuhusu sherehe utaona kwenye TV tu wameenda
Hakuna kiongozi anakata utepe wa daraja huku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sioni sababu zozote za kusimamisha masaa.
Ni mambo ya ajabu sana
Wanaona kama hamna shughuli za kufanya
Hii alisema Makamu wa Rais Dr Mpango na kulipinga kabisa usumbufu huu.

Tatizo la hapo ni kuwa kiongozi anaposema hoja analiacha hapo hapo badala ya kuifanya sheria ikaingia kwenye vitabu
Matamko mengi bila faida

Poleni
Nchi za wenzetu hakuna huu ujinga
 
Leo wakazi wa moshi na viunga vyake, tumesimamishwa zaidi ya dakika 45 ili tu kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.

Naambiwa Biteko alitoka kwenye Kili Marathon, sasa alipokuwa anatoka huko kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ndio wanyonge tukawekwa pembeni zaidi ya dakika 45.

Hii sio sawa, tunapoteza muda kwa msafar wa kiongozi ambaye ingewezekana dakika 10 kabla ya kupita kwake ndio tusimamishwe.

Wahusika mlifanyie kazi hili.
Tatizo ni nyie wenyewe, mnawachagua kisha mnaanza kuwawinda muwapore cheni zao, hivyo uadui mnauanzisha nyie.
 
Leo wakazi wa moshi na viunga vyake, tumesimamishwa zaidi ya dakika 45 ili tu kupisha msafara wa Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko.

Naambiwa Biteko alitoka kwenye Kili Marathon, sasa alipokuwa anatoka huko kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ndio wanyonge tukawekwa pembeni zaidi ya dakika 45.

Hii sio sawa, tunapoteza muda kwa msafar wa kiongozi ambaye ingewezekana dakika 10 kabla ya kupita kwake ndio tusimamishwe.

Wahusika mlifanyie kazi hili.
Ifike muda watengenezewe Barabara zao waache usumbufu Kwa wananchi
 
Back
Top Bottom