Kero: Mkuyuni Morogoro vijijini hakuna umeme

Kero: Mkuyuni Morogoro vijijini hakuna umeme

Bururu

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
877
Reaction score
584
Morogoro kijiji cha Mkuyuni hakuna umeme wiki mbili sasa, ni shida kwa wafanyabiashara.
 
hivi hili jimbo si la Morogoro vijijini?
😅😅😅
 
Huko Tanesco wanajua hakuna watu zaidi ya migomba, miwa na mafenesi, hata brazamen wao mbunge hakai huko atawatetea nani??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Huko Tanesco wanajua hakuna watu zaidi ya migomba, miwa na mafenesi, hata brazamen wao mbunge hakai huko atawatetea nani??

Everyday is Saturday............................... 😎
Nasikia hata Katibu wa Mbunge anaishi Dar
 
Back
Top Bottom