KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za mida hiii wadau.
Maendeleo ya kiteknolojia yameleta unafuu wa maisha na kuyafurahia maisha hasa kwenye mawasiliano.
Lakini maendeleo hayo kwa upande mwingine yameleta usumbufu na kero hasa yakikutana ndugu zetu ambao hawana nidhamu kwenye kutumia.
Kumekuwa na makundi ya kupiga soga kupitia mtandao wa WhatsApp.
Ni jambo zuri lakini limekosa muongozo kwa kuwa mara nyingi waunganishaji au waongozaji hawaangalii au kuzingatia maudhui ya kundi lao, wao kazi yao ni kuunganisha tu.
Unajikuta umeungwa kwenye huku ikifuatiwa mamia ya jumbe mbali mbali za majadiliano kwenye kundi hilo.
Simu inakuwa haina utulivu kila muda zinaingia jumbe mbali mbali, hata unashindwa kuzingatia mambo yako ya msingi.
Wewe umekumbana au unakumbana na kero gani kwenye haya makundi ya kupiga soga.
Maendeleo ya kiteknolojia yameleta unafuu wa maisha na kuyafurahia maisha hasa kwenye mawasiliano.
Lakini maendeleo hayo kwa upande mwingine yameleta usumbufu na kero hasa yakikutana ndugu zetu ambao hawana nidhamu kwenye kutumia.
Kumekuwa na makundi ya kupiga soga kupitia mtandao wa WhatsApp.
Ni jambo zuri lakini limekosa muongozo kwa kuwa mara nyingi waunganishaji au waongozaji hawaangalii au kuzingatia maudhui ya kundi lao, wao kazi yao ni kuunganisha tu.
Unajikuta umeungwa kwenye huku ikifuatiwa mamia ya jumbe mbali mbali za majadiliano kwenye kundi hilo.
Simu inakuwa haina utulivu kila muda zinaingia jumbe mbali mbali, hata unashindwa kuzingatia mambo yako ya msingi.
Wewe umekumbana au unakumbana na kero gani kwenye haya makundi ya kupiga soga.