Na ukishika simu yenye bando hasa kuanzia GB 1, basi shetani anakuwa na kiherehere unajikuta ghafla uko kwenye site pendwa
Mi nliwahi kutafuta soksi had nikataman kulia ile nimekata tamaa ndo naiona ipo mfuko wa nyuma
Sent using Gun Trigger
Simu ikiwa na GB 1 yan nilazma tu uzame ile site ila sahiv nataka nijitahid niache kabisa nimeshakua mleviNa ukishika simu yenye bando hasa kuanzia GB 1, basi shetani anakuwa na kiherehere unajikuta ghafla uko kwenye site pendwa
Hapa nimepika Tambi kwenye rise-cooker Yan had nimeona uvivu kula mkuu zinaelea kwenye mafuta tu mafuta nilijaza kama kikombe kimoja hivikingine ukipika wali unaliwa siku mbili,huo huo unakuwa kitafunwa cha asubuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nayajua vizuri tu, mimi ni bachela kitamboMkuu we maisha ya kibachela huyajui ww kutokufua mashuka hiyo ni yentee tu
Sent using Gun Trigger
Nyet* mi nimeacha mkuu sijapiga leo siku ya nne ila sikushauri uache ni kaz sanaAdv & disadvantage.
Hasara
1.geto kugeuka stoo
2.kuzirudia rudia nguo kuvaa bila kufua
3.kufanya usafi geto hadi uwe na mihadi na demu
4.upigaji wa nyeto usiniambie hupigi punyeto endapo wewe ni bachelor
5.
Mwanaume unajipikilisha pikilisha ili iweje ?*unaweza kupika ugali hadi ukaungua lakin usiive
*Unaweza kuacha kupika kisa unaona uvivu kuosha vyombo
*Friji inaweza kugeuka kuwa kabati kila kitu unaweka huko kikombe,sahan, sukari majani ya chai n.k
*Unaweza kuondoka kwenda kazini na remote ya radio ukijua ni simu
*Unaweza kulala mwezi mzima bila kufua wala kubadilisha mashuka
Sent using Gun Trigger
Aisee unaonekana upo rafu😎Mi nliwahi kutafuta soksi had nikataman kulia ile nimekata tamaa ndo naiona ipo mfuko wa nyuma
Sent using Gun Trigger
Hujaacha itakuwa umepumzika tuu [emoji16][emoji16][emoji16]Nyet* mi nimeacha mkuu sijapiga leo siku ya nne
Sent using Gun Trigger