Kero nilizokutana nazo Dar natamani kurudi mkoani

Nimenote vitu 3
1 mgeni
2 umetembea kwa miguu umesema
3. Masaki
Huyu jamaa anahitaji msaada jaman kwa anatutambia kuwa alikuwa anaenda masaki sasa ilikuwaje utembee..
 
Nikweli bana mimi pia nahama
 
SASA WEWE MSUKUMA NA DAR WAPI NA WAPI? ULITEGEMEA UTAENDESHA BAISKELI AU TRAFIC LIGHTS ZIONGOZE PUNDA? EBU RUDI KWENU CALL ME J
 
Nimenote vitu 3
1 mgeni
2 umetembea kwa miguu umesema
3. Masaki
Huyu jamaa anahitaji msaada jaman kwa anatutambia kuwa alikuwa anaenda masaki sasa ilikuwaje utembee..
We nawe Kama jinga mxeew umeishia daras la ngapi hata hujui kusom
 
SASA WEWE MSUKUMA NA DAR WAPI NA WAPI? ULITEGEMEA UTAENDESHA BAISKELI AU TRAFIC LIGHTS ZIONGOZE PUNDA? EBU RUDI KWENU CALL ME J
Mxeew unjishaua Kama umezaliwa Dar kwendaaa
 
Umeme sasaiv kila sehem, joto lazima kwa kua kumezungukwa na bahari labda uyo folen
 
Hela za watu ulizipata?
 
We rudi tu mkoani wenzio ndo kwanza tunajenga makazi ya kudumu.
 
Kuna kaka zako. Kila siku wanajazana kwenye mabasi kuja dar. Kutafuta maisha.
 
Hakuna mahali kama ARUSHA.
nakubaliana na wewe mzeebaba..nipo huku dar kwa muda,kuna kaishu na kapiga yani natamani iishe chap nirudi Arusha...kiufupi hili jiji limenishinda kabisaaa yani kila kitu keroo kuanzia usafiri,joto,uchafu ahhrrggggg this is the worst place to live in Tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…