Ni nchi nzima, tuone kama mwendq zake hatakumbukwa, hilo shirika litaftiwe mshindani wa kweliMtwara mjini umeme unakatika hovyo bila taarifa yoyote.
Ni siku ya nne sasa toka huu mchezo uanze kufanyika. Tunateseka, baadhi ya vifaa vyetu vinavyotegemea umeme vinaharibika kwa kupata shoti kisa ya umeme kukatika hovyo hovyo. Umeme ukirudi haukai hata unakatwa tena.
Tunashindwa kufanya mambo mengine kwa sababu ya umeme kukatika hovyo hovyo!!!
Mwendazake alioata nafuu Kwa sababu biashara ziliporomoka uhitaji wa umeme ulikuwa mdogo na pia alidhibiti taarifa hakuna kuripoti.Ni nchi nzima,tuone kama mwendq zake hatakumbukwa,hilo shirika litaftiwe mshindani wa kweli
Kipindi cha Mwendazake umeme ulikuwa unatumika kiasi gani na sasa unatumika kiasi gani.Mwendazake alioata nafuu Kwa sababu biashara ziliporomoka uhitaji wa umeme ulikuwa mdogo na pia alidhibiti taarifa hakuna kuripoti.
Kama hapa ungeripoti ungeshatafutwa ,
N bado tuu mnalazimisha lawama ziende kwa JPMMwendazake alioata nafuu Kwa sababu biashara ziliporomoka uhitaji wa umeme ulikuwa mdogo na pia alidhibiti taarifa hakuna kuripoti.
Kama hapa ungeripoti ungeshatafutwa ,
Wala sihitaji kujibu Kwa maelezo meengi,kwani wewe umesikia wapi wakisema vyuma vimekaza? Wewe huoni biashara zinavyofunguliwa mtaani? Hiyo imeongeza mahitaji sana ya umeme.Kipindi cha Mwendazake umeme ulikuwa unatumika kiasi gani na sasa unatumika kiasi gani.
Jamaa yako alitaka kumchafua Mwendazake, Bungeni alisema zamani umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara sababu walikuwa hawafanyi preventive mantainance.
Uzuri mama kamsikia na akamkabizi hela avifanyie mantainance hivyo vituo vya kuzalisha umeme.Tulitegemea kwa miaka yake miwili aache legacy bora kuliko ya Mwendazake zake ambayo aliona hafai, ila leo hii hali ndio imezidi kuwa mbaya,mvua zimenyesha ila umeme leo unakatika kama taa za club zinawaka na kuzima kila mda.
Utakuwa unaishi Burundi ina maana ww vyuma unaona vimelegea, hivi ktk kupindi chake bei ya mafuta imepanda mara ngapi? Najua utasema Corana na Ukraine na Russia (wakitusikia nana wanatucheka),wakati Zambia mafuta wanapitisha kwetu ila bei rahisi. Sasa bei ya mafuta ipande hovyo hovyo, then vyuma vilegee,dola nazani unaona mpaka Waziri wako wa fedha anahaha,napo utasema vyuma vimelegea.Wala sihitaji kujibu Kwa maelezo meengi,kwani wewe umesikia wapi wakisema vyuma vimekaza? Wewe huoni biashara zinavyofunguliwa mtaani? Hiyo imeongeza mahitaji sana ya umeme.
Tanesco wako clear kwamba shida za kukatika mara Kwa mara Kwa umeme ni
1.Miundombinu chakavu kuanzia waya Hadi matransfoma
2.Umeme mdogo Kwa maana ya mzigo.kwa sababu mahitaji makubwa ila njia za Kupeleka umeme kukidhi mahitaji ndio zimezidiwa hivyo inakuwa wanafanya kama mgao nk
Naomba watu waelewa kwamba shida sio umeme Bali miundombinu ya kusambaza ndio shida.Mimi Wilaya niliko ni kero kero mara buku
Uwe unaelewa ,bei ya mafuta kupandi sio sawa na vyuma kukaza,vyuma kukaza kulikuwa hakuna mzunguko mtaani, biashara zinafungwa na kufa nkUtakuwa unaishi Burundi ina maana ww vyuma unaona vimelegea, hivi ktk kupindi chake bei ya mafuta imepanda mara ngapi? Najua utasema Corana na Ukraine na Russia (wakitusikia nana wanatucheka),wakati Zambia mafuta wanapitisha kwetu ila bei rahisi. Sasa bei ya mafuta ipande hovyo hovyo, then vyuma vilegee,dola nazani unaona mpaka Waziri wako wa fedha anahaha,napo utasema vyuma vimelegea.
Miundombinu hela ya mantainance alipewa na mama na kazi ya mantainance ni kazi ya mda mfupi ambayo sizani kama inatumia miezi zaidi ya sita.
Hata baadhi ya maeneo ya Dar ni hivyohivyo, umeme unakatika na kurudi almost mara 7 kwa sikuMtwara mjini umeme unakatika hovyo bila taarifa yoyote.
Ni siku ya nne sasa toka huu mchezo uanze kufanyika. Tunateseka, baadhi ya vifaa vyetu vinavyotegemea umeme vinaharibika kwa kupata shoti kisa ya umeme kukatika hovyo hovyo. Umeme ukirudi haukai hata unakatwa tena.
Tunashindwa kufanya mambo mengine kwa sababu ya umeme kukatika hovyo hovyo!!!
Uwe unaelewa ,bei ya mafuta kupandi sio sawa na vyuma kukaza,vyuma kukaza kulikuwa hakuna mzunguko mtaani, biashara zinafungwa na kufa nk
Bei hata ingepandaje ila watu watanunua tuu maana ni swala.la kupunguza matumizi sehemu Y na kuhamishia sehemu Z yenye muhimu zaidi. Sera ya serikali ni availability sio price ,price inabdailika mda wowote sio constant.
Sasa swala la sijui wapi bei rahisi na wapi bei ya juu,Kila Nchi Ina sera na Kodi tofauti kwenye mafuta ,Tanzania tunategemea Kodi kweymafuta Zaid ya Trioni 3 zinatoka hapo au 40% ya bei ya Lita Moja ni Kodi za serikali
Pole sanaNimepitia threads zako na kuonea huruma,yaani mafuta yapande na dola ipande rapidly halafu vyuma vilegee.
Ngoja nikutafutie na taarifa ya Mikopo ya Mabenki ya mwezi wa 7 na WA 8 uone jinsi mikopo inakua.Pole sana View attachment 2743530
Endelea kulamba asali.Pole sana View attachment 2743530
Siku zote nyie machadomo Huwa ni majinga kama sio mapumbavu,huna base ya hoja na ukipewa huja utasikia unalamba asali mala chawa,hovyo sana nyie.Endelea kulamba asali.
Hamia Msumbiji au BurundiMtwara mjini umeme unakatika hovyo bila taarifa yoyote.
Ni siku ya nne sasa toka huu mchezo uanze kufanyika. Tunateseka, baadhi ya vifaa vyetu vinavyotegemea umeme vinaharibika kwa kupata shoti kisa ya umeme kukatika hovyo hovyo. Umeme ukirudi haukai hata unakatwa tena.
Tunashindwa kufanya mambo mengine kwa sababu ya umeme kukatika hovyo hovyo!!!
Endelea kujitoa ufahamu na akili.Siku zote nyie machadomo Huwa ni majinga kama sio mapumbavu,huna base ya hoja na ukipewa huja utasikia unalamba asali mala chawa,hovyo sana nyie.
Sio Kila mtu ni mpumbavu kwamba ukiongea ujinga unapigiwa makofi.