Kero: TANESCO Mtwara wanakata kata umeme ovyo!

Kero: TANESCO Mtwara wanakata kata umeme ovyo!

Mtwara mjini umeme unakatika hovyo bila taarifa yoyote.

Ni siku ya nne sasa toka huu mchezo uanze kufanyika. Tunateseka, baadhi ya vifaa vyetu vinavyotegemea umeme vinaharibika kwa kupata shoti kisa ya umeme kukatika hovyo hovyo. Umeme ukirudi haukai hata unakatwa tena.

Tunashindwa kufanya mambo mengine kwa sababu ya umeme kukatika hovyo hovyo!!!
Gesi si mnayo hapo uani tu sasa imekuaje? Mambo ya Niger hayo wana Uranium Ila umeme hawana
 
Ni nchi zima hili jambo la umeme kukatika sio Mtwara tu usipo katika kwa siku mpaka mnajiuliza kunani huko ,yaani Tanzania sijui nini ,excuses zimekuwa nying kuhusiana na kukatika kwa umeme ,mbona majirani zetu hatusikii hizi complaints labda kalemani arudishwe tena tuone kasi yake tena kama kipindi cha jpm .
 
Ni nchi zima hili jambo la umeme kukatika sio Mtwara tu usipo katika kwa siku mpaka mnajiuliza kunani huko ,yaani Tanzania sijui nini ,excuses zimekuwa nying kuhusiana na kukatika kwa umeme ,mbona majirani zetu hatusikii hizi complaints labda kalemani arudishwe tena tuone kasi yake tena kama kipindi cha jpm .
Kwakweli yaan arudishwe tu!! Maana umeme ulikua ukikatika taarifa mnayo sio saiv kero tupu.
 
Umeme mtwara ni tatizo sanaa unakatika katika bila sababu ,sijui Kwann
Kweli tutamkumbuka magufuri huu ungeseee haukuwepo kabisa
 
Mwendazake alioata nafuu Kwa sababu biashara ziliporomoka uhitaji wa umeme ulikuwa mdogo na pia alidhibiti taarifa hakuna kuripoti.

Kama hapa ungeripoti ungeshatafutwa ,
Last week,tanesco wamesema kuna ongezeko kubwa la matumizi ya umeme,as if hawajui kuwa watu wanapenda standard kadri nchi inavyoendelea
 
Last week,tanesco wamesema kuna ongezeko kubwa la matumizi ya umeme,as if hawajui kuwa watu wanapenda standard kadri nchi inavyoendelea
Wanajua Sasa kama wanapewa hela kidogo na Serikali unategemea wafanyaje?
 
Gesi si mnayo hapo uani mnaokoteza tu km ilivyo dhahabu kule Geita, nyinyi ni matajiri wa Gesi
Tumepoteana kama man united last week na Arsenal,tatizo watawala hawajajua wananchi wanajituma kiasi gani ili wapate basic need wao wanaendelea na zama za fikra sahihi za mwenyekiti,hapa ccm wajipange,hivi sasa kila familia inataka maji na huduma zote at a door step,shida hawa wa Ubirigiji nao hawana alternative political plan.
 
Back
Top Bottom