Kero vituko na vioja vya majirani

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hyo speed haiwez
Utamvunja mguu bure
Unaona anapga hatua moja mbele

Mbili znarud nyuma
Hahahaahhahahaahahahahaha kama ni hivi atafika kweli kwa hali tete kiasi hiko??
 
The the.
Af anasema anaspeed kumbe
Anafkuzatu nzi
Mi sina speeda wala nini.
Mapenzi hayalazimishwi bwana.
Mwanamke anaweza kuwachezesha ngoma mama mazuzu.
Kumbe ana chaguo lake moyoni.
Ila wajanja kama sisi huwa tunashtukia mapema.
Mazuzu ndio yanaplay hadi mwisho afu badae yanakuja kuumizwa.
 
Haa has haaa me n hapa
Hapa mpaka nihakikishe
Mtt mahondaw ameenda kaskazn

Afe kipa afe bek

Kwa kiubard hiki cha hapa
Lazma mtt atulie kifuan
Ucku wa leo
Teh afu shost angu Leo aliota nmeolewa kaskazini eti Nina ki babygal juu na two housegirls hahahahaha! Ukute
 
Hahahaahhahahaahahahahaha kama ni hivi atafika kweli kwa hali tete kiasi hiko??
Haa haa hapo mwenywe c unaona
Kabsa n ndoto kutoboa tena za
Mchana[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hakawii kufloat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…