Kero vituko na vioja vya majirani

Teh hao wanasikilizia Mziiiki wako hao! Labda duu analalamika sana
 
Ila mie kero kubwa ambayo inaniboa kwa majirani wa kwetu kupiga chambo ukiwa ndani sita kwa sita hili bana ni tatizo sugu mno sijapata kuona hata kama umezima taa wako radhi wasiklize sauti hata volume iwe chini vipi hawaondoki ndo kero ambayo imenishinda tabia
 
Hahahaahhahahaahahahahaha hio kwa 95% haiepukiki! Kwa jins watz tulivo wambea sidhani
 
Teh hao wanasikilizia Mziiiki wako hao! Labda duu analalamika sana
Labda pengine..ila huku kimara nyumba Ina geti ..nikiingia nafunga geti...sio rahisi kusikia MIVUMO...ila shida yao sijuwi nini hasa wakishaona wanapata faida gani...vicheko vya nguvu nyuma yangu nikimsindikiza kituoni...kuna kipindi nikawa natumia mlango wa uwani...pia wakahamia upande wa uani
 
mkuu pole sana kwa hiyo mikasa ya huyo neighbour wako naweza nkasema kwako ni afadhali though it is so tough at your side mie kwangu ni more than wonders yani,

√huyu jirani yangu hapa next to me ni about miezi mi tisa sijawahi muona but siku moja tu ya jumuiya na hanaga time, only najua kuna mdada next to me ame rent but huwanga navizia siku nimuone hata single hour but naskianga mtu kaingia ndani kawasha taa for a minutes then kazima analala,huwa napatanga wakati mgumu sababu as i tried to show up my presence to her kama jiraniseems like huongeza more step forward kwangu me, bad enough our house master huwanga anaishi kwingine kabisa , its me & her , huwanga anaga time nami,napenda sana sturbon kama hizo za hapa na pale za neighbour kupiga redio kwa sauti, kuombana free time but its better for you asee....
 
Heshimu imani za wengine kaka. Religious tolerance ni very necessary, or you may sell that plot and buy far away. Ingawa itakuwa kukimbia tatizo na sio suruhu maana tunategemeana.

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Heshimu imani za wengine kaka. Religious tolerance ni very necessary, or you may sell that plot and buy far away. Ingawa itakuwa kukimbia tatizo na sio suruhu maana tunategemeana.

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
wao wanaroho mbaya sana waliniibia redio yangu walitaka kuchoma nyumba wahame wao situkani mtu ni mziki wangu wa injili mwanzo mwisho ikifika mwenzi wa ramadhani uwa natamani kuhama kwasababu sala inaisha saa tano inaanza saa kumi
 
wao wanaroho mbaya sana waliniibia redio yangu walitaka kuchoma nyumba wahame wao situkani mtu ni mziki wangu wa injili mwanzo mwisho ikifika mwenzi wa ramadhani uwa natamani kuhama kwasababu sala inaisha saa tano inaanza saa kumi
Mimi pia ni muhanga wa hao watu, katika ukoo wetu ni mchanganyiko wa waislamu na wakristo babu zetu walipokea dini zote 2, katika vikao vya kuamua mambo muhimu ya ukoo ni wabishi sana, tena hutuchukulia wote waislamu. Yaani ni pasua kichwa sana.

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…