Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bwana endeleeni kuwinda tu mm sasa hv cna changu tenaShida c ndo hz unaona
Tunawinda mtt akijaa
Ubavun ndo shida inaondokaa
Mi nimetoka.
Nasoma linasound mahonda, hebu niandikie jinsi linavyo somekaHahahahah anza kulipronauns haraka haraka kama mara 10 hivi litakaa kinywani mwako. yule mzee wa drug yule mhmmhmhmhmh
Haa haa haaMi sina speeda wala nini.
Mapenzi hayalazimishwi bwana.
Mwanamke anaweza kuwachezesha ngoma mama mazuzu.
Kumbe ana chaguo lake moyoni.
Ila wajanja kama sisi huwa tunashtukia mapema.
Mazuzu ndio yanaplay hadi mwisho afu badae yanakuja kuumizwa.
Yan hutak hata nimsalimieWe jamaa unapenda kuchombeza chombeza kweli yani.
Huyu ndugu yangu anamuwinda mtoto mahondaw kwa hio anaogopa kukubali.Why..... Saint Ivuga anakataa ulichoniambia
Basi nisahihi akatae, Daby usisite kunitambulisha bro halafu J yupo wap nimemissHuyu ndugu yangu anamuwinda mtoto mahondaw kwa hio anaogopa kukubali.
Ila akishampata huyu mtoto ndio utaona.
Kwa vile upo hapa utakuja kuona tu kila kitu kitakuwa wazi ila sa hivi ana mission zake
Wakat umeshafka eeehNaskia baridiiiii na kusinzia kileleni si Mchezo mjue ohoooo nitadondoka buree
Daaa ahsante kwa msaada sasa naweza kulitaja bila kutumia ATP kubwaMa:ho:ndawi Hahahaha
Usiende bwanaaaa pata Poa humuDuh naona Wameshindwa hawa ngoja nikalale bila bila nahii baridi mhmmhmhmhmh!
Mchukue tu sa hivi.Yan hutak hata nimsalimie
Hayaa tundoke Mrs usser wangKileleni baridiiiii jamani ntasinzia nidondoke
Afu nlikuwa nishakuandalia mistari mitamu ya good night"Naondoka bila bila jamani lol!