Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

mahondaw jina lako linanishinda kulisoma na kulitamka, msaada tafadhari maana kila nikilisoma lina sound kama MAKONDA !!! 😳
Hahahahah anza kulipronauns haraka haraka kama mara 10 hivi litakaa kinywani mwako. yule mzee wa drug yule mhmmhmhmhmh
 
Mi sina speeda wala nini.
Mapenzi hayalazimishwi bwana.
Mwanamke anaweza kuwachezesha ngoma mama mazuzu.
Kumbe ana chaguo lake moyoni.
Ila wajanja kama sisi huwa tunashtukia mapema.
Mazuzu ndio yanaplay hadi mwisho afu badae yanakuja kuumizwa.
Haa haa haa
Kweli mfungwa hachagui jela
Yyt anakubali tu maana hana
Otherwise

Naona tarabu ushakubali
Kushindwa maana
Co mwa mwendo huu
 
Yan hutak hata nimsalimie
Mchukue tu sa hivi.
Ujue mwanamke hagandwi.
Ukimganda mwanamke hata kama unampenda sana utaumia tuu siku moja isiyo na jina.

Manake atakuwa na wewe ila mawazo yake yako mbali.
Mm nataka mke wa amani ndani kuwe na amani watoto waishi kwa amani na kwa upendo wa Mungu.

Im saint. I cant handle this battle any more.
Ujue mwanaume unaweza kupenda wanawake wengi ila atakayekupebda ndio unamchukua huyo huyo .

Na wengine wote unaweka pembeni.
Ila usawa huu mambo ya vidume watatu mnakomaa na mwanamke mmoja si ndio mwanzo wa kupangwa.?
Im out.
Ila nampenda saba tu.
 
Back
Top Bottom