luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kumezuka ka tabia hawa wakatisha tiketi wa Udart na wale.wanao scan na kuchana .zile tiketi kurushiana maneno na wateja kwa maana wanao safiri
Leo pale kimara mwisho majira ya saa kumi jioni ktk folen ya kuelekea Kibaha kijana.mmoja.mchana tiketi alikuwa ana rushiana maneno na msafiri.mmoja mwanamama mjamzito , walikwaruzana sanaa yule mama.mjamzito , yule kijana akawa ana.waambia wafanyakazi wenzake huyu "dada haniambii kitu mimi na deal na watu hawa siku nzimaaaa "
Kiukweli wanapaswa waelewe ya kuwa ile ni huduma na lzm waangalie na kujali lugha nzuri unapo.zungumza na mteja ,.
Ukiachana na kisa cha leo, jana pia majira kama ya leo brother mmoja wa makamo.kidogo.pia alizozana sanaa na mkatisha tiketi za kidirisha cha kwenda Mbezi , yule mkatisha tiketi alimuita yule brother "chizi" kisa chao kilikuwa ni tiketi ambayo jamaa alinunua ktk icho kidirisha then alipokwenda ku scan ikabainia ime expire walizozana sanaa
Yule mkatisha tiketi akajifanya kumuita wale walinzi wao wa kampuni ya China -Tanzania nikawaacha hapo katika mzozo kisa tiketi
Sasa kwa tabia hizi ambazo zimejitokeza kwa hawa baadhi ya wafanya kazi wa Udart hasa idara ya wakatisha tiketi na wanao scan tiketi katika kituo cha KIMARA MWISHO ni vyema ikadhibitiwa na uongozi wa udart sio kulea lea UOZOOO
Nawasilisha kwenu wadau kama na ww ulikutana na kisa cha namna iyo share ili wadau wa Udart wajue
Leo pale kimara mwisho majira ya saa kumi jioni ktk folen ya kuelekea Kibaha kijana.mmoja.mchana tiketi alikuwa ana rushiana maneno na msafiri.mmoja mwanamama mjamzito , walikwaruzana sanaa yule mama.mjamzito , yule kijana akawa ana.waambia wafanyakazi wenzake huyu "dada haniambii kitu mimi na deal na watu hawa siku nzimaaaa "
Kiukweli wanapaswa waelewe ya kuwa ile ni huduma na lzm waangalie na kujali lugha nzuri unapo.zungumza na mteja ,.
Ukiachana na kisa cha leo, jana pia majira kama ya leo brother mmoja wa makamo.kidogo.pia alizozana sanaa na mkatisha tiketi za kidirisha cha kwenda Mbezi , yule mkatisha tiketi alimuita yule brother "chizi" kisa chao kilikuwa ni tiketi ambayo jamaa alinunua ktk icho kidirisha then alipokwenda ku scan ikabainia ime expire walizozana sanaa
Yule mkatisha tiketi akajifanya kumuita wale walinzi wao wa kampuni ya China -Tanzania nikawaacha hapo katika mzozo kisa tiketi
Sasa kwa tabia hizi ambazo zimejitokeza kwa hawa baadhi ya wafanya kazi wa Udart hasa idara ya wakatisha tiketi na wanao scan tiketi katika kituo cha KIMARA MWISHO ni vyema ikadhibitiwa na uongozi wa udart sio kulea lea UOZOOO
Nawasilisha kwenu wadau kama na ww ulikutana na kisa cha namna iyo share ili wadau wa Udart wajue