Kero ya barabara ya Morogoro - Dodoma

Kero ya barabara ya Morogoro - Dodoma

Scaramanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
490
Reaction score
704
Ndugu zangu TANROAD niwaombe sana mtuonee huruma na vigari vyetu na usalam pia. Kilichofanyika barabara ya Morogoro kwenda Dodoma mbele ya hotel ya Flomi karibu na kituo cha kupozea umeme hapo msamvu ni kero.

Zile rasta mlizoweka 6 zinaumiza magari na nimeshuhudia ajali mbili mfululizo. Tukumbuke hii ni barabara kubwa yanapita mabasi,malori na gari ndogo.

Hata kama ni kutaka kuhalalisha kivuko ndiyo rasta 6 tena nene hasa. Nimekuta gari ilifika ile kupunguza lahaula la nyuma likamgonga na si mara moja kesho yake tena ikatokea ajali kama hiyo.

Hizo tuta nani mmemuwekea? Ni bora mmgejenga hata daraja kama mwanza la chuma watu wavuke juu , maana hata wenzetu Kenya watatucheka high way rasta kibao da.
 
Ila Nchi hii 🤔 yaan haki yao kupata huduma lkn inabid raia waombe na kubembeleza kana kwamba ni hisani!!
 
Ndugu zangu TANROAD niwaombe sana mtuonee huruma na vigari vyetu na usalam pia. Kilichofanyika barabara ya Morogoro kwenda Dodoma mbele ya hotel ya Flomi karibu na kituo cha kupozea umeme hapo msamvu ni kero.

Zile rasta mlizoweka 6 zinaumiza magari na nimeshuhudia ajali mbili mfululizo. Tukumbuke hii ni barabara kubwa yanapita mabasi,malori na gari ndogo.

Hata kama ni kutaka kuhalalisha kivuko ndiyo rasta 6 tena nene hasa. Nimekuta gari ilifika ile kupunguza lahaula la nyuma likamgonga na si mara moja kesho yake tena ikatokea ajali kama hiyo.

Hizo tuta nani mmemuwekea? Ni bora mmgejenga hata daraja kama mwanza la chuma watu wavuke juu , maana hata wenzetu Kenya watatucheka high way rasta kibao da.
Nakuunga mkono, kwanza barabara inatakiwa ipanuliwe angalau kwa kuanzia mpaka Wami Dakawa kwa nia sita. Zijengwe fly over za watembea kwa miguu kukatisha upande wa stendi isiyo rasmi ya Dodoma kwenda Stendi kuu ya Msamvu pia ijengwe fly over ya kukatisha upande kuanzia kilipo kituo cha mafuta au hoteli ya Morena kuvuka upande wa stendi kuu ya Msamvu. Barabara ipanuliwe kuanzia Msamvu stendi kuu hadi Mikese kwa njia sita. Barabara ipanuliwe kuanzia mzunguko wa Msamvu hadi Mzumbe kwa njia nne kwa kwa kuwa njia hiyo haina magari mengi kama yanayotoka au kwenda Dar au Dodoma.
 
Nakuunga mkono, kwanza barabara inatakiwa ipanuliwe angalau kwa kuanzia mpaka Wami Dakawa kwa nia sita. Zijengwe fly over za watembea kwa miguu kukatisha upande wa stendi isiyo rasmi ya Dodoma kwenda Stendi kuu ya Msamvu pia ijengwe fly over ya kukatisha upande kuanzia kilipo kituo cha mafuta au hoteli ya Morena kuvuka upande wa stendi kuu ya Msamvu. Barabara ipanuliwe kuanzia Msamvu stendi kuu hadi Mikese kwa njia sita. Barabara ipanuliwe kuanzia mzunguko wa Msamvu hadi Mzumbe kwa njia nne kwa kwa kuwa njia hiyo haina magari mengi kama yanayotoka au kwenda Dar au Dodoma.
Ni kweli kabisa. Hicho kipande cha maungio ya barabara hapo msamvu kurudi nyuma hadi Mikese na toka round about hadi Kuvuka pale mabonde ya mpunga kwa barabara ya kuja Dom na kiasi kdg ile ya kuelelea Iringa, imekuwa bizy saana. Pale panatakiwa pafanyiwe mpango wa kupanulia barabara badala ya kuiharibu kwa kujaza mituta mingi barabaran. Huo ni ushamba tu na kuishiwa mbinu.
 
... unazungumzia matuta/raster 6 eneo la Msamvu nikajua kwa title ya uzi unazungmzia 254km za hiyo barabara!

Kumbe lile somo la kupewa story fulani enzi za drs la 4 then kutakiwa ku-propose title ya hiyo story lilikuwa somo moja muhimu sana japo wengine tuliona ni kama kupoteza muda.
 
... unazungumzia matuta/raster 6 eneo la Msamvu nikajua kwa title ya uzi unazungmzia 254km za hiyo barabara!

Kumbe lile somo la kupewa story fulani enzi za drs la 4 then kutakiwa ku-propose title ya hiyo story lilikuwa somo moja muhimu sana japo wengine tuliona ni kama kupoteza muda.
Kwako wewe unaweza kuona ni ujinga ila sishangai maana tumeumbwa kila mmoja na ufikiri wake na sikulaumu.
 
Ndugu zangu TANROAD niwaombe sana mtuonee huruma na vigari vyetu na usalam pia. Kilichofanyika barabara ya Morogoro kwenda Dodoma mbele ya hotel ya Flomi karibu na kituo cha kupozea umeme hapo msamvu ni kero.

Zile rasta mlizoweka 6 zinaumiza magari na nimeshuhudia ajali mbili mfululizo. Tukumbuke hii ni barabara kubwa yanapita mabasi,malori na gari ndogo.

Hata kama ni kutaka kuhalalisha kivuko ndiyo rasta 6 tena nene hasa. Nimekuta gari ilifika ile kupunguza lahaula la nyuma likamgonga na si mara moja kesho yake tena ikatokea ajali kama hiyo.

Hizo tuta nani mmemuwekea? Ni bora mmgejenga hata daraja kama mwanza la chuma watu wavuke juu , maana hata wenzetu Kenya watatucheka high way rasta kibao da.
Kwani hakuna alama za tahadhari kabla ya kuzifikia hiza rasta?
 
Kwani hakuna alama za tahadhari kabla ya kuzifikia hiza rasta?
shida siyo alama unapojenga barabara maana yake ni kuweza magari kupita katika hali zote na kwa urahisi sasa unapoweka matuta/rasta tena eneo ambalo halipo busy kusema kuna watu ni kukera watumiaji wa vyombo vya moto. Sasa unaweka rasta 6 huoni ni kero na eneo ambalo halipo na watu kusema unataka gari sipunguze mwendo. Hii matuta imekuwa sasa ni kero
 
Back
Top Bottom