Kero ya kuazimana chaja, unarudi home unakuta chaja haipo

Kero ya kuazimana chaja, unarudi home unakuta chaja haipo

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Vip wakuu ushawai kutana na gasia ya kuazimwa chaja? Na aliezima hayupo? Ila ni kero Balaa. Hivi adi chaja? Unakuta mtu hana kabisa chaja na anamilik tambo la 300000+
 
Kwa hasira, kabadilishe system charge, kama anatumia type c, kaweke micro
 
Sana na wala hawajishtukii. Ukinunua nyingine wanapita nayo pia
 
Sipendi kuazima wala kuazimwa chaja ndio maana nina chaja nyingi kuliko idadi ya simu nilizo nazo. Chaja zingine nimezipeleka bush kwetu ili nikienda huko nisipata kero ya kuazima chaja za watu. Ni upuuzi kumiliki simu halafu huna chaja
 
Vip wakuu ushawai kutana na gasia ya kuazimwa chaja? Na aliezima hayupo? Ila ni kero Balaa. Hivi adi chaja? Unakuta mtu hana kabisa chaja na anamilik tambo la 300000+
Mimi nina chaja tatu ,moja naiacha home ,mbili natembea nazo.
 
Tz ni nchi ya kijamaa ,huwa tunaazimana mpk vijiko vya chakula asipokuwepo tunakula kwa mikono
 
Back
Top Bottom