Kama unaweza kumiliki simu kwanini ushindwe kuwa na chaja yako hadi uwe kero kwa wengine.Kivp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaweza kumiliki simu kwanini ushindwe kuwa na chaja yako hadi uwe kero kwa wengine.Kivp?
BajetiKama unaweza kumiliki simu kwanini ushindwe kuwa na chaja yako hadi uwe kero kwa wengine.
Sio kweli mkuuBajeti
Hapana mkuu ,battery zipo fresh ,huwa sipendi simu ipungue chaji maana natumia sana whatsapp kuwasiliana na wateja ,nikitoka porini nikifika home nataka ziwe na chaji maana naitumia mpaka usiku wa saa saba au nane ndiyo napumzika.Haha mkuu simu yako betri kimeo?