Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na ImaniMabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Hata muislam anaamini hivyohivyo kwenye dini yake kwahiyo huna jipya mzeeNadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Mzee siupande yale hufungulia kaswida mwanzo hadi mwisho na mahubiri ya Mtume Muhamadi Muda wote shida nini? We ndio unaleta udini.Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Huna Jambo kumbeNadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Huna JamboMkuu, je mabasi yanayo milikiwa na waislamu nayo wanawaburudisha ABIRIA kwa nyimbo za injili?
Pili, waislamu wa kweli wanaiamini injili. Wenyewe wsnaita INJIL.
Kama muislamu wa kweli nyimbo za kumsifu YESU zitakua hazikupi shida.
Haijalishi ni Qaswida au kwaya yote ni kelele TuMkuu, je mabasi yanayo milikiwa na waislamu nayo wanawaburudisha ABIRIA kwa nyimbo za injili?
Pili, waislamu wa kweli wanaiamini injili. Wenyewe wsnaita INJIL.
Kama muislamu wa kweli nyimbo za kumsifu YESU zitakua hazikupi shida.
Kama unaelekea kutoa hoja ila unaogopaYaleyaleeeee ya kupeana majina ya ajabu ajabu kama vile makafiri au wavaa kobazi.
Hilo la sauti ya tv au redio kuwa juu sana kupita kiasi ni kero nakubaliana na mleta mada
Niwe mpangaji wako halafu Nina miziki ndani WA maana utajua hujui napiga mpaka paa linatoka kutokaUelewa tuna tofautiana nyimbo za dini si sawa ni kelele kwa wasio amini.
Isiwe tabu. Siku nyingine panda Ally's au Abood. HutajutiaHaijalishi ni Qaswida au kwaya yote ni kelele Tu
Waislam Qaswida hairusiwi isipokua matamanio ya nafsi na kuipamba dini Tu lkn ni Haram maana inaingia katika miziki pia
Una jina linaloendana na majina ya waislamu lkn wewe huujui uislamu. Hujasoma uislamu. Wewe sio muislamu.Huna Jambo
Promoter kama vibaraka wengine Tu
Tumia akili usitumie kichuri asee
Kwa hiyo kupiga kelele asubuhi saa Kumi na moja Nao ni udini Sio?Huna Jambo kumbe
Nikajua utatoa hoja kumbe hamna kitu
Huu ni udini
We promoter kama kama vibaraka wengine Tu
Yaan safari unaanza asubuhi mpaka JioniKwa hiyo kupiga kelele asubuhi saa Kumi na moja Nao ni udini Sio?
Au adhana na mziki Kwenye basi Kipi kina sauti kubwa?